hazole1
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 4,319
- 3,910
Kama ingewezekana serikali ingekomaa na bajeti hiyo moja mpaka mwaka 2020 kwasababu naona serikali uwezo wake ndio unaonyesha hivyo.
Kwasababu kama bajeti ya mwaka jana ilifeli kwa 70% inamaana hiyo bajeti inahita tena miaka 3 tena ili kuikamilisha.
Ila hii ya kupiga bajeti kubwa kila mwaka ambazo hazitekelezeki ni kupoteza muda.
Na kujitafutia sifa ambazo hazina maana.
Kwasababu kama bajeti ya mwaka jana ilifeli kwa 70% inamaana hiyo bajeti inahita tena miaka 3 tena ili kuikamilisha.
Ila hii ya kupiga bajeti kubwa kila mwaka ambazo hazitekelezeki ni kupoteza muda.
Na kujitafutia sifa ambazo hazina maana.