KANYEGELO
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 2,149
- 4,752
WAPO WALIOFUNGWA HONG KONG NA HAWATAKI WARUDISHWE KWENYE NCHI ZAO.
Father John ametusogezea siri kuwa kuna baadhi ya wafungwa ambao wapo kwenye magereza ya Hong Kong na hawataki kurudi nchini kwao kutokana na Magereza ya kule yalivyo.
“Magereza ya Hong Kong yapo vizuri yaani kwenye Chakula, makazi na mavazi vinatolewa bure lakini ukienda kwenye nchi nyingine kidogo ni shida familia ndiyo inabidi kulipia.
Hong Kong kuna wafungwa ambao wanafanya shughuli mbalimbali wakiwa gerezani na wanajipatia kipato cha kutuma kwa familia zao na wengine wanaingiza dolla 80 kwa mwezi na zaidi na wanasema kipato wanachokipata ni kikubwa kuliko wanachokipata wakiwa nchini kwao” - Father John, PowerBreakFast
Sent from toyota Allex
Father John ametusogezea siri kuwa kuna baadhi ya wafungwa ambao wapo kwenye magereza ya Hong Kong na hawataki kurudi nchini kwao kutokana na Magereza ya kule yalivyo.
“Magereza ya Hong Kong yapo vizuri yaani kwenye Chakula, makazi na mavazi vinatolewa bure lakini ukienda kwenye nchi nyingine kidogo ni shida familia ndiyo inabidi kulipia.
Hong Kong kuna wafungwa ambao wanafanya shughuli mbalimbali wakiwa gerezani na wanajipatia kipato cha kutuma kwa familia zao na wengine wanaingiza dolla 80 kwa mwezi na zaidi na wanasema kipato wanachokipata ni kikubwa kuliko wanachokipata wakiwa nchini kwao” - Father John, PowerBreakFast
Sent from toyota Allex