nasrimgambo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2017
- 1,858
- 2,348
Sio kweli farasi wanaweza kuishi maeneo ya jotoFarasi wanafaa maeneo yanye baridi sana.
Ukiwaleta uku ulimwengu wa Tatu, gharama za kuwatunza utawatelekeza mwenyewe.
Sema tu tanzania hatuna mazoea ya kuwafuga
Ni hivyo tu sio utamaduni wetu Kumtumia farasi