kwanini jk anashindwa kutaja neno ufisadi kwenye kampeni zake?amekuwa akiongoza kwa maagizo ya dr slaa,sasa anapaswa kuondoka madarakani
Mkuu wangu hutaweza kujaza pakacha linalovuja hata siku moja. Sera haziwezi kufanya kazi (kujenga Taifa)pasipo kuhibiti kwanza Ufisadi.. JK anatakiwa kutueleza hilo kwanza.Nadhani ana mambo mengine muhimu ya kuwaambia wananchi. Mambo ya ufisadi yameshaongelewa na wapinzani kwa mapana na marefu kwa miaka kadhaa sasa, wananchi wanataka kusikia sera badala ya nyimbo za ufisadi. Wananchi wanataka kusikia faida za kuwa na wabunge wengi wa upinzani katika utungaji wa sheria zinazo athiri maisha yao na maisha ya vizazi vijavyo.
Ajabu kila mgombea upinzani anapopanda jukwaani anaongea juu ya ufisadi na kuacha mambo muhimu. Wakati CCM inashinda katika kutoa mikakati/ahadi (including zisizotekelezeka na za uongo) wapinzani wameshikiria bango la ufisadi na uonevu. Is ufisadi all what opposition can dwell on?
Then, at one point nimesoma kwamba Dr Slaa alikaririwa akisema "KAMA JK MWANAMUME....." hili ni tusi tosha kwa wanawake ambao ni feminist, na pengine linatoa tafsiri ya ubabe. Nina wasiwasi na watunzi wa hotuba za kampeni za Dr Slaa au jazba ya Dr Slaa anapokuwa jukwaani. Kuchagua maneno ni art ambayo kiongozi anatakiwa awe nayo.
Kama Slaa alishapita Songea basi kuna haja ya kurudi huko na kuwatoa wasiwasi wananchi hawa waliolishwa sumu hii kali na Kikwete. Na ikibidi sasa ratiba ya Kampeni ya Slaa ibadilishwe awe anapita huko alikopita Kikwete ili kuondoa hiyo sumu.
CCM wanatakiwa kujuwa kuwa amani na utulivu tulionao Tanzania ni neema ya MUNGU kwa watu wa Tanzania. Ametupa mioyo ya utulivu na uvumilivu na si wao (CCM) kama wanavyodai. Maana kama watanzania wasingekuwa wavumilivu haya maovu wanaotutendea CCM mfano kuwachekea mafisadi na kuwatetea hadharani na kuuza maliasili za nchi zetu kwa wageni basi wangeweza kubeba mapanga na kusema hatuwataki hawa wawekezaji wanyonyaji.
Kama Slaa alishapita Songea basi kuna haja ya kurudi huko na kuwatoa wasiwasi wananchi hawa waliolishwa sumu hii kali na Kikwete. Na ikibidi sasa ratiba ya Kampeni ya Slaa ibadilishwe awe anapita huko alikopita Kikwete ili kuondoa hiyo sumu.
CCM wanatakiwa kujuwa kuwa amani na utulivu tulionao Tanzania ni neema ya MUNGU kwa watu wa Tanzania. Ametupa mioyo ya utulivu na uvumilivu na si wao (CCM) kama wanavyodai. Maana kama watanzania wasingekuwa wavumilivu haya maovu wanaotutendea CCM mfano kuwachekea mafisadi na kuwatetea hadharani na kuuza maliasili za nchi zetu kwa wageni basi wangeweza kubeba mapanga na kusema hatuwataki hawa wawekezaji wanyonyaji.
hii kauli ysake ya umwagaji damu na ile msg inayomzungumzia dr Slaa kuwa anataka kumwaga damu zina uhusiano sana, nadhani hawa ndio walioziandika
Nadhani ana mambo mengine muhimu ya kuwaambia wananchi. Mambo ya ufisadi yameshaongelewa na wapinzani kwa mapana na marefu kwa miaka kadhaa sasa, wananchi wanataka kusikia sera badala ya nyimbo za ufisadi. Wananchi wanataka kusikia faida za kuwa na wabunge wengi wa upinzani katika utungaji wa sheria zinazo athiri maisha yao na maisha ya vizazi vijavyo.
Ajabu kila mgombea upinzani anapopanda jukwaani anaongea juu ya ufisadi na kuacha mambo muhimu. Wakati CCM inashinda katika kutoa mikakati/ahadi (including zisizotekelezeka na za uongo) wapinzani wameshikiria bango la ufisadi na uonevu. Is ufisadi all what opposition can dwell on?
Then, at one point nimesoma kwamba Dr Slaa alikaririwa akisema "KAMA JK MWANAMUME....." hili ni tusi tosha kwa wanawake ambao ni feminist, na pengine linatoa tafsiri ya ubabe. Nina wasiwasi na watunzi wa hotuba za kampeni za Dr Slaa au jazba ya Dr Slaa anapokuwa jukwaani. Kuchagua maneno ni art ambayo kiongozi anatakiwa awe nayo.
Jamani nilipata taarifa kutoka kwa rafiki yake na mtoto wa kikwete(miraji) the only option iliyobaki kwa CCM nikutumia propaganda ya umwagaji damu ambayo wameifanyia utafiti na kuona kuwa inaweza kuwanusuru kubakia madarakani. Kijana huyo alinidokeza kuwa mpango huo utakuwa na faida kubwa mbili kwao.
- Utarahisisha au kuharalisha wizi wa kura, kwa maana kwamba hata wapinzani wakigundua na kugoma, vyombo vya usalama vitatumia kigezo cha wanaotaka kumwaga damu hivyo wananchi wataamini kweli wapinzani walikusudia kumwaga damu.
Mpango huu huko well coordinated.
- Wananchi wengi wataogopa kupiga kura na watakaopiga watapigia CCM kwa maana ni chama kisichotaka kumwaga Damu.
My take
Tupeleke ujumbe kwa ndugu zetu walioko hasa vijijini na kuwaeleza mpango huu mbaya wa CCM.
Naamini CHADEMA mnamashushu wenu tafadhari watumieni ili kuzima mpango huu mbaya kabisa wa CCM