Paulsylvester
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 1,467
- 3,381
Haiwezekani Serikali ilazimishe wananchi wake waanze kulumbana nayo kwa kuisema vibaya na kuichukia kwa sababu ya mtu mmoja tuu
Huyo Waziri wa Nishati anafanya nini hapo?
Kwanini anafanya serikali yote ichukiwe kwa ajili yake peke yake?
Je, watu wazuri na makini wa kuisimamia hiyo wizara wameisha kwenye hii nchi??
Waziri Makamba January utaruhusuje mchakato ndani ya wizara yako uagizaji wa nguzo za umeme nje na ili hali tunaviwanda vingi vizuri vinavyozalisha nguzo za umeme hapa nchini na vilivyodhibitishwa na shirika la viwango nchini TBS?
Ni kwanini tuichukie serikari kwa lazima ya mtu mmoja?
Na ukweli ukisemwa sana mwishoni huwa kero kwa wahusika na kuanza kuteka watu kisa umesemwa ukweli!!
Mungu anawaona!!
Huyo Waziri wa Nishati anafanya nini hapo?
Kwanini anafanya serikali yote ichukiwe kwa ajili yake peke yake?
Je, watu wazuri na makini wa kuisimamia hiyo wizara wameisha kwenye hii nchi??
Waziri Makamba January utaruhusuje mchakato ndani ya wizara yako uagizaji wa nguzo za umeme nje na ili hali tunaviwanda vingi vizuri vinavyozalisha nguzo za umeme hapa nchini na vilivyodhibitishwa na shirika la viwango nchini TBS?
Ni kwanini tuichukie serikari kwa lazima ya mtu mmoja?
Na ukweli ukisemwa sana mwishoni huwa kero kwa wahusika na kuanza kuteka watu kisa umesemwa ukweli!!
Mungu anawaona!!