mnengene
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 4,129
- 6,318
kwa taarifa ni kwamba akina mdee wamekimbilia mahakamani kuomba mahakama ipitie upya ifanye review ya utaratibu waliopitia chadema kuwafukuza uanachamaWakina Halima hawajaishtaki CHADEMA pekee, wamemshtaki pia AG pamoja na NEC.
Na ni kama haukufuatilia hilo shaurila kina kovid nimeshangaa huyu Solicitor General na siyo AG bwana gabriel malata kujihusisha
kwa mujibu wa majukumu yake hahusiki .
kwa mujibu wa ishu za kina kovid hawajashtaki mtu wanataka tukutumia mahakama kuvunja katiba ya nchi.
Kama bunge lilivyofanya ila wajijue hawachomoki kwenye hii ishu