Kwanini Serikali ilituficha kuugua kwa Dkt. Magufuli?

Kama sikosei, mpaka sasa Rais Samia keshaongea na waandishi wa habari kama mara mbili hivi.

Ni zaidi ya mwezi sasa tokea alipoongea na wahariri wa vyombo vya habari/ waandishi wa habari toka ikulu ya Dar es Salaam.

Wiki moja au mbili zilizopita, akafanya mahojiano na Salim Kikeke wa BBC.

Katika nyakati zote hizo mbili, sikusikia kabisa akiulizwa ni kwa nini serikali yake ilituficha kuhusu kuugua kwa Rais Magufuli.

Wananchi hatukupata taarifa zozote zile zilizo rasmi hadi tukaishia kutegemea habari umbea na zisizo rasmi kupitia mitandao ya kijamii.

Kimya kilipozidi kutanda, tukaanza kudokezwa dokezwa kuwa hali si nzuri, mara sijui yupo anachapa kazi, mara sijui anafanywa nini…

Haikupendeza hata kidogo. Na hata vyombo vya habari vya kimataifa viliripoti kuhusu tetesi za kutoonekana kwa Magufuli.

Kwangu hili halikubaliki kabisa!

Wananchi kama waajiri wa hawa viongozi wetu, tuna haki ya kujua kuhusu afya za viongozi wetu.

Hapa simaanishi kila kitu kuhusu afya. Namaanisha tu ile kwa ujumla wake.

Kama mtu anaumwa, kalazwa, tuna haki ya kujua.

Mambo ya kuficha/ kufichwa halafu mnakuja tu kuambiwa mtu kaaga dunia, hayafai.
Hivyo, ningependa sana kujua kwa nini wananchi hatukupewa taarifa.

Na itokeapo fursa ingine ya Rais Samia au hata waziri mkuu Majaliwa kuongea na waandishi wa habari, ningependa kuona na kusikia wakiulizwa ni kwa nini hawakutufahamisha kilichokuwa kinaendelea.

Pascal Mayalla take note and spread the word.
Inashangaza sana
 
JPM alijijua kama ni mgonjwa na hata ukimsikiliza hotuba zake alikuwa anaweka wazi kwa namna ya asili (subconscious).

Alijua kuwa afya yake sio nzuri na alijua hana muda mrefu duniani. Cha ajabu akawa anaishi kwa stress nyingi tofauti kabisa na maradhi aliyokuwa nayo.

Pia asingeshindwa kutibiwa Ulaya au USA kama angetaka, aliamua kuwa mbishi tu kwamba lolote na liwe. Alikuwa tayari kwa lolote.
Bado haujajibu swali.
Kwanini walificha?
 
Matola, waliokufa ni wafanyakazi wenzie tu? Mbona wake zao wapo na wanaishi? Mbona hata mamake JPM yu hai (pamoja na udhaifu wa afya yake?).
Bado maswali ni mengi kuliko majibu.

Vv
We jamaa mjinga sana! Kwani wote wanaoumwa wanakufa? Mbona huulizi kwa Wengine wanaougua na hawafi Ila Kuna wanaougua na kufa?

Nyie jamaa ni washamba sana! Kwa iyo nyie kwenu kila kitu ni kuhisi vibaya tu?

Ndo mana kwenu mnaua vikongwe kuwasingizia wachawi kwa sababu wana macho mekundu wapuuzi nyie
 
Wewe ni mamluki and trust kuwa hakuna unachokijua .

JPM amekatishwa uhai na watu aliowaamini. Hata Mama alikuwa ni inside job la kundi la wahuni.

Uhai wa JPM ulikuwa challenged for the first time pale Mtwara, shambulio la kwanza Lilianza pale ; ili kujenga hoja ya Corona timu yake ya karibu ili pay responsibility na kuwa ni sehemu ya frustration kwa Mkuu .

Mkamzushia Mkuu kafa na Corona .

Ujio wa wageni chato ulikuwa ni cement ya kumaliza uhai wa JPM. Baada ya Ugeni , timu nyingine ilipotea huku Target ni JPM. Adhima yake ilimazikia pale stand ya JPM , baada ya hapo alionekana state akiapisha huku akiwa dhaifu, baada ya hapo wahuni wakafanya sherehe.

Kwa ufupi kabisa TISS ya Tanzania Sio TISS ya Intelligence, ni TISS ya Umbea na Ulafi.

TISS ni chombo dhaifu sana kwa maslahi mapana ya nchi. Na ndio maana upigaji mkubwa inafanyika na state security ipo na wala haina impact.

Kuuliwa kwa JPM ni kufeli kwa TISS iliyopasuka, na Hii ni ishara mbaya kwa TAIFA . Kama TISS inaweza kupasuliwa na wastaafu Pamoja na wahuni , na Ikapasuka, ujue nchi haina stable security ya ki intelligence na wala nchi haina mamlaka .

JPM aliakisi mila za ki TZ. Kwa Mfano , suala la vyeti fake na mishahara hewa, haya mambo yapo kwa Mtu mweusi , wenzetu wana system control na walishaondokana na huo ujinga. Leo JPM anawasafishia nchi, mnalia lia majitu yaliyofoji vyeti yarudia ofisi, sijawahi kuamini MTZ ni Mtu mwenye akili,wala sitokuja kuamini.

Leo hii JPM analinda madini yetu , watz wanakuwa upande wa mabeberu wangine walikuwa wanaomba kununua kesi, ndio maana hili taifa haliwezi kujaa kutoboa kamwe.

Leo Hii Samia anaponda utawala wa JPM , huku watu wanapiga makofi, ni mambo ya aibu na ukosefu wa elimu inatafuna taifa.

Hii ni ishara kuwa taifa lipo kwenye hatari maana ikiwa samia ana diss utawala wa JPM , maana yake hawa viongozi wa CCM ndio ni tatizo la taifa letu ; Yaani hawa ni kuondoa wote , kamwe hawawezi kuwa ni solution ya matatizo kama taifa.

Kila mmoja akiondoka, atataka kuonesha Shida ilikuwa kwa mtangulizi wake, hivyo hapo Huwezi pata maendeleo , maana hakuna maturity na akili timamu . Wote ni wendawazimu
Yote ya nini?
Kashitaki kituo cha polisi!
 
Matola, waliokufa ni wafanyakazi wenzie tu? Mbona wake zao wapo na wanaishi? Mbona hata mamake JPM yu hai (pamoja na udhaifu wa afya yake?).
Bado maswali ni mengi kuliko majibu.

Vv
Nadhani watu wanasahau kuwa brain ya mwanadamu ina pattern...Huwezi ku cook kitu usigundulike kwasababu ya hiyo pattern ya thinking...Kuna sehemu pattern itaonekana tu...Watu ambao wamebobea kwenye analyses haichuki dakika kugundua kama hii ni random au patterned...Ni kama mtoto akitaka kusema uwongo...Any way bado haimaanishi haiwezi kutokea...Just thinking loud.
 
Matola, waliokufa ni wafanyakazi wenzie tu? Mbona wake zao wapo na wanaishi? Mbona hata mamake JPM yu hai (pamoja na udhaifu wa afya yake?).
Bado maswali ni mengi kuliko majibu.

Vv

Kaka Umemuwekea Matola Analysis Nzito mnoo kukujibu
Mpaka nimejilaumu kwanini nimesoma huu uzi.
 
Mm hua najiuliza kwann watoto wa jpm hawana viherehere, kwa kweli nia ajabu sana hakubeba vichwa juuu kama wale.
 
Mkuu wewe ujue hizi habari afu TISS wasijue?? Hii nchi ngumu kweli kweli. Hapo ukute uko ILEMELA umetulia kwenye kijiwe cha Kahawa.
Kwan mkuu huyo unayemuuliza swali hilo unamfahamu? Je kama ni haohao TISS
 
Kama sikosei, mpaka sasa Rais Samia keshaongea na waandishi wa habari kama mara mbili hivi.

Ni zaidi ya mwezi sasa tokea alipoongea na wahariri wa vyombo vya habari/ waandishi wa habari toka ikulu ya Dar es Salaam.

Wiki moja au mbili zilizopita, akafanya mahojiano na Salim Kikeke wa BBC.

Katika nyakati zote hizo mbili, sikusikia kabisa akiulizwa ni kwa nini serikali yake ilituficha kuhusu kuugua kwa Rais Magufuli.

Wananchi hatukupata taarifa zozote zile zilizo rasmi hadi tukaishia kutegemea habari umbea na zisizo rasmi kupitia mitandao ya kijamii.

Kimya kilipozidi kutanda, tukaanza kudokezwa dokezwa kuwa hali si nzuri, mara sijui yupo anachapa kazi, mara sijui anafanywa nini…

Haikupendeza hata kidogo. Na hata vyombo vya habari vya kimataifa viliripoti kuhusu tetesi za kutoonekana kwa Magufuli.

Kwangu hili halikubaliki kabisa!

Wananchi kama waajiri wa hawa viongozi wetu, tuna haki ya kujua kuhusu afya za viongozi wetu.

Hapa simaanishi kila kitu kuhusu afya. Namaanisha tu ile kwa ujumla wake.

Kama mtu anaumwa, kalazwa, tuna haki ya kujua.

Mambo ya kuficha/ kufichwa halafu mnakuja tu kuambiwa mtu kaaga dunia, hayafai.
Hivyo, ningependa sana kujua kwa nini wananchi hatukupewa taarifa.

Na itokeapo fursa ingine ya Rais Samia au hata waziri mkuu Majaliwa kuongea na waandishi wa habari, ningependa kuona na kusikia wakiulizwa ni kwa nini hawakutufahamisha kilichokuwa kinaendelea.

Pascal Mayalla take note and spread the word.
Iliwafichaficha kuugua kwa huyo marehemu wenu?Ulitarajia iwekwe wazi wakati huyo marehemu wenu alikataa uhuru na uwazi, na kila kitu cha utawala wake kilifanyika kwa siri?Corona ilikua ni siri,mauaji na kuteka watu kwa siri, kila kitu kilifanywa siri,ukiongea unapotezwa wanataka iwe siri,serikali ya huyo marehemu wenu ilikopa hadi kwa siri

Jee ni uwazi gani uliutaka ewe mpendwa nyaningabu?Naona umemtag pascal oooh Push gang bhana
 
No!

We have to hold our leaders [who work for us] to account.

They have a solemn responsibility to be forthright with us.

If we let bygones be bygones, we will be giving them the license to willy-nilly take us for a ride whenever they feel like it and they can invoke that bullshit to eschew their responsibilities knowing that no one cares to know.

I’m not here for it. You shouldn’t either!
Sasa ndo unayajua haya?Hukuyaona hayo wakati wa huyo marehemu wenu?
 
Mkuu usitukumbushe machungu ya kuondokewa na jemedari wetu. Hata hivyo nahodha aliepo sasa ana weledi na ujuzi unaofanana na alietangulia. Kwahiyo tuna imani atatufikisha salama safari yetu.
Mwendazake naye alikua jemedari?upsss!!!
 
Back
Top Bottom