Kwanini Serikali ilituficha kuugua kwa Dkt. Magufuli?

Kama sikosei, mpaka sasa Rais Samia keshaongea na waandishi wa habari kama mara mbili hivi.

Ni zaidi ya mwezi sasa tokea alipoongea na wahariri wa vyombo vya habari/ waandishi wa habari toka ikulu ya Dar es Salaam.

Wiki moja au mbili zilizopita, akafanya mahojiano na Salim Kikeke wa BBC.

Katika nyakati zote hizo mbili, sikusikia kabisa akiulizwa ni kwa nini serikali yake ilituficha kuhusu kuugua kwa Rais Magufuli.

Wananchi hatukupata taarifa zozote zile zilizo rasmi hadi tukaishia kutegemea habari umbea na zisizo rasmi kupitia mitandao ya kijamii.

Kimya kilipozidi kutanda, tukaanza kudokezwa dokezwa kuwa hali si nzuri, mara sijui yupo anachapa kazi, mara sijui anafanywa nini…

Haikupendeza hata kidogo. Na hata vyombo vya habari vya kimataifa viliripoti kuhusu tetesi za kutoonekana kwa Magufuli.

Kwangu hili halikubaliki kabisa!

Wananchi kama waajiri wa hawa viongozi wetu, tuna haki ya kujua kuhusu afya za viongozi wetu.

Hapa simaanishi kila kitu kuhusu afya. Namaanisha tu ile kwa ujumla wake.

Kama mtu anaumwa, kalazwa, tuna haki ya kujua.

Mambo ya kuficha/ kufichwa halafu mnakuja tu kuambiwa mtu kaaga dunia, hayafai.
Hivyo, ningependa sana kujua kwa nini wananchi hatukupewa taarifa.

Na itokeapo fursa ingine ya Rais Samia au hata waziri mkuu Majaliwa kuongea na waandishi wa habari, ningependa kuona na kusikia wakiulizwa ni kwa nini hawakutufahamisha kilichokuwa kinaendelea.

Pascal Mayalla take note and spread the word.
Ilikuwa lazima afe Ili kuliokoa taifa
 
Ipo siku tutaujua ukweli na waliohusika Siku yao ya kiama itakuja. Narudia MAGUFULI alikufa kwa mchongo. RIP jiwe letu nimekukumbuka sana
Kwa kesi JPM, it's just matter of time, haitapita 5yrs, kunasiku mtu atalibutua, Kwanza wacha walumbaneeee wakifanya kosa wakaanza kufukuzana ndo utajua Sasa Nan atalibutua kopo la kombolela, ila ninauhakika kunasiku mtu atasimama kwa kukiri, ama kizimban akijib kuhusiana na suala hili..
 
We jamaa just hahaaaa
COVID 19 deniar....

Na ikamchukua kweli...


Nyie tengenezeni theories nyiiiingii lakini huo ndiyo ukweli...

Mlipuko wa kwanza alifanya vizuri sana kwenda kujificha Chato mpaka hali ilipopoa... Hapa credits zote apewe Kipilimba & Ummy kwa kusimamia profesionalism, walijua japo COVID 19 machoni mwa jamii wameikana haipo lakini ukweli ni kwamba ilikuwepo na kwa usalama wa Rais haikuwa salama kumuexpose...

Mlipuko ule wa March akawepo Diwani na Gwaji Girl kwenye taasisi nyeti, na wote ni wachumia tumbo. Watafanya lolote ilimradi kulinda vibarua vyao. Wakammislead mwamba, wakamruhusu afanye ziara kuanzia Chato kuja mikoa yote ya mashariki. Alipita Tabora, Singida, Morogoro. Alipofika Dar akaenda kuzindua Kijazi Interchange, akazindua Magufuli Bus Terminal, akazindua Soko la Kisutu. Baada ya hapo akarudi ndani na HAKUTOKA TENA mpaka kifo kilipomfika.

Mpaka hapo mtakuwa mmeshajua wa kubebeshwa mzigo ni nani. Unapochaguliwa kuwa Waziri ina maana unatakiwa kumshauri Rais ukweli daima, unatakiwa umshauri na kumpa ukweli Rais hata kama hatakubaliana na wewe, lakini utakuwa umeshatimiza wajibu wako. Yani always unatakiwa usimamie ukweli hata kama utatumbuliwa, maana kuongopa kwako kunaweza kuicost nchi na wananchi wote.

Ningekuwa Rais, mtu wa kwanza kutumbuliwa angekuwa huyu Gwaji Girl, viongozi aina hii ni HATARI KWA TAIFA kwani hawasimamii profesionalism bali wanaenda na upepo wa Rais anavyotaka na wao wanafuata, hata kama Rais yuko wrong wanaogopa kumpa correct informations kwa kuogopa kuonekana wanampinga, mwisho wa siku wanamuingiza chaka Rais.

NB: Kama kawaida juzi wametoa taarifa kwa umma kwamba mlipuko uliopo sasa ni mafua makali, hamna corona. Halafu likitokea la kutokea tunaanza kutafuta mchawi nani. Sisi hatuna shida, ila wakumbuke viongozi wengi huko juu ni wazee na wana magonjwa mengine sugu ambayo yakiungana na COVID 19 ni suala la muda tuu kukutoa roho, na haichukui round wataanza kudondoka very soon, hii yote inasababishwa na aina hii ya viongozi wanaojali matumbo yao zaidi. Sisi yetu macho na masikio.
 
Just hahaaaa!!!!korona haina kulemba
Ndo mkakati wenu Bahima Empire sio?

Unadhani ni rahisi sana kutengeneza ya Rwanda Genocide hapa Tanzania kirahisi ivyo?

Mtaendelea sana kutunga huo upuuzi wenu ila hamtafika popote!

Hakuna aliyeidharau corona na akabaki salama! Deportivo la corunia inapenda sana wakorofi wa wabishi, na magufuli na Nkurunziza ni wamojawapo.

Hizo nadharia zako rudi nazo kwenu Rwanda Bahima Empire wewe
 
Pambaf wewe, aidha ulikuwa uko TRA au Task Force ya kupora wananchi pamoja na vile vitengo vya kutaifisha mali za wafanyabiashara.
Mlifaidika sana na uharamia wa Awamu ya 5.
Miradi ya SGR ilikuwa inasuasua hata kabka ya JPM kwenda alikokwenda.
Mishahara na increments zilikuwa shida.
Watu zaidi ya 4000 wamefukuzwa na hela yao kuchukuliwa, ati hawana vyeti.
Angekuwepo leo JPM, nchi ingekuwa imeshapiga magoti.

Wewe ni mamluki and trust kuwa hakuna unachokijua .

JPM amekatishwa uhai na watu aliowaamini. Hata Mama alikuwa ni inside job la kundi la wahuni.

Uhai wa JPM ulikuwa challenged for the first time pale Mtwara, shambulio la kwanza Lilianza pale ; ili kujenga hoja ya Corona timu yake ya karibu ili pay responsibility na kuwa ni sehemu ya frustration kwa Mkuu .

Mkamzushia Mkuu kafa na Corona .

Ujio wa wageni chato ulikuwa ni cement ya kumaliza uhai wa JPM. Baada ya Ugeni , timu nyingine ilipotea huku Target ni JPM. Adhima yake ilimazikia pale stand ya JPM , baada ya hapo alionekana state akiapisha huku akiwa dhaifu, baada ya hapo wahuni wakafanya sherehe.

Kwa ufupi kabisa TISS ya Tanzania Sio TISS ya Intelligence, ni TISS ya Umbea na Ulafi.

TISS ni chombo dhaifu sana kwa maslahi mapana ya nchi. Na ndio maana upigaji mkubwa inafanyika na state security ipo na wala haina impact.

Kuuliwa kwa JPM ni kufeli kwa TISS iliyopasuka, na Hii ni ishara mbaya kwa TAIFA . Kama TISS inaweza kupasuliwa na wastaafu Pamoja na wahuni , na Ikapasuka, ujue nchi haina stable security ya ki intelligence na wala nchi haina mamlaka .

JPM aliakisi mila za ki TZ. Kwa Mfano , suala la vyeti fake na mishahara hewa, haya mambo yapo kwa Mtu mweusi , wenzetu wana system control na walishaondokana na huo ujinga. Leo JPM anawasafishia nchi, mnalia lia majitu yaliyofoji vyeti yarudia ofisi, sijawahi kuamini MTZ ni Mtu mwenye akili,wala sitokuja kuamini.

Leo hii JPM analinda madini yetu , watz wanakuwa upande wa mabeberu wangine walikuwa wanaomba kununua kesi, ndio maana hili taifa haliwezi kujaa kutoboa kamwe.

Leo Hii Samia anaponda utawala wa JPM , huku watu wanapiga makofi, ni mambo ya aibu na ukosefu wa elimu inatafuna taifa.

Hii ni ishara kuwa taifa lipo kwenye hatari maana ikiwa samia ana diss utawala wa JPM , maana yake hawa viongozi wa CCM ndio ni tatizo la taifa letu ; Yaani hawa ni kuondoa wote , kamwe hawawezi kuwa ni solution ya matatizo kama taifa.

Kila mmoja akiondoka, atataka kuonesha Shida ilikuwa kwa mtangulizi wake, hivyo hapo Huwezi pata maendeleo , maana hakuna maturity na akili timamu . Wote ni wendawazimu
 
Wewe ni mamluki and trust kuwa hakuna unachokijua .

JPM amekatishwa uhai na watu aliowaamini. Hata Mama alikuwa ni inside job la kundi la wahuni.

Uhai wa JPM ulikuwa challenged for the first time pale Mtwara, shambulio la kwanza Lilianza pale ; ili kujenga hoja ya Corona timu yake ya karibu ili pay responsibility na kuwa ni sehemu ya frustration kwa Mkuu .

Mkamzushia Mkuu kafa na Corona .

Ujio wa wageni chato ulikuwa ni cement ya kumaliza uhai wa JPM. Baada ya Ugeni , timu nyingine ilipotea huku Target ni JPM. Adhima yake ilimazikia pale stand ya JPM , baada ya hapo alionekana state akiapisha huku akiwa dhaifu, baada ya hapo wahuni wakafanya sherehe.

Kwa ufupi kabisa TISS ya Tanzania Sio TISS ya Intelligence, ni TISS ya Umbea na Ulafi.

TISS ni chombo dhaifu sana kwa maslahi mapana ya nchi. Na ndio maana upigaji mkubwa inafanyika na state security ipo na wala haina impact.

Kuuliwa kwa JPM ni kufeli kwa TISS iliyopasuka, na Hii ni ishara mbaya kwa TAIFA . Kama TISS inaweza kupasuliwa na wastaafu Pamoja na wahuni , na Ikapasuka, ujue nchi haina stable security ya ki intelligence na wala nchi haina mamlaka .

JPM aliakisi mila za ki TZ. Kwa Mfano , suala la vyeti fake na mishahara hewa, haya mambo yapo kwa Mtu mweusi , wenzetu wana system control na walishaondokana na huo ujinga. Leo JPM anawasafishia nchi, mnalia lia majitu yaliyofoji vyeti yarudia ofisi, sijawahi kuamini MTZ ni Mtu mwenye akili,wala sitokuja kuamini.

Leo hii JPM analinda madini yetu , watz wanakuwa upande wa mabeberu wangine walikuwa wanaomba kununua kesi, ndio maana hili taifa haliwezi kujaa kutoboa kamwe.

Leo Hii Samia anaponda utawala wa JPM , huku watu wanapiga makofi, ni mambo ya aibu na ukosefu wa elimu inatafuna taifa.

Hii ni ishara kuwa taifa lipo kwenye hatari maana ikiwa samia ana diss utawala wa JPM , maana yake hawa viongozi wa CCM ndio ni tatizo la taifa letu ; Yaani hawa ni kuondoa wote , kamwe hawawezi kuwa ni solution ya matatizo kama taifa.

Kila mmoja akiondoka, atataka kuonesha Shida ilikuwa kwa mtangulizi wake, hivyo hapo Huwezi pata maendeleo , maana hakuna maturity na akili timamu . Wote ni wendawazimu
Mkuu wewe ujue hizi habari afu TISS wasijue?? Hii nchi ngumu kweli kweli. Hapo ukute uko ILEMELA umetulia kwenye kijiwe cha Kahawa.
 
Wewe ni mamluki and trust kuwa hakuna unachokijua .

JPM amekatishwa uhai na watu aliowaamini. Hata Mama alikuwa ni inside job la kundi la wahuni.

Uhai wa JPM ulikuwa challenged for the first time pale Mtwara, shambulio la kwanza Lilianza pale ; ili kujenga hoja ya Corona timu yake ya karibu ili pay responsibility na kuwa ni sehemu ya frustration kwa Mkuu .

Mkamzushia Mkuu kafa na Corona .

Ujio wa wageni chato ulikuwa ni cement ya kumaliza uhai wa JPM. Baada ya Ugeni , timu nyingine ilipotea huku Target ni JPM. Adhima yake ilimazikia pale stand ya JPM , baada ya hapo alionekana state akiapisha huku akiwa dhaifu, baada ya hapo wahuni wakafanya sherehe.

Kwa ufupi kabisa TISS ya Tanzania Sio TISS ya Intelligence, ni TISS ya Umbea na Ulafi.

TISS ni chombo dhaifu sana kwa maslahi mapana ya nchi. Na ndio maana upigaji mkubwa inafanyika na state security ipo na wala haina impact.

Kuuliwa kwa JPM ni kufeli kwa TISS iliyopasuka, na Hii ni ishara mbaya kwa TAIFA . Kama TISS inaweza kupasuliwa na wastaafu Pamoja na wahuni , na Ikapasuka, ujue nchi haina stable security ya ki intelligence na wala nchi haina mamlaka .

JPM aliakisi mila za ki TZ. Kwa Mfano , suala la vyeti fake na mishahara hewa, haya mambo yapo kwa Mtu mweusi , wenzetu wana system control na walishaondokana na huo ujinga. Leo JPM anawasafishia nchi, mnalia lia majitu yaliyofoji vyeti yarudia ofisi, sijawahi kuamini MTZ ni Mtu mwenye akili,wala sitokuja kuamini.

Leo hii JPM analinda madini yetu , watz wanakuwa upande wa mabeberu wangine walikuwa wanaomba kununua kesi, ndio maana hili taifa haliwezi kujaa kutoboa kamwe.

Leo Hii Samia anaponda utawala wa JPM , huku watu wanapiga makofi, ni mambo ya aibu na ukosefu wa elimu inatafuna taifa.

Hii ni ishara kuwa taifa lipo kwenye hatari maana ikiwa samia ana diss utawala wa JPM , maana yake hawa viongozi wa CCM ndio ni tatizo la taifa letu ; Yaani hawa ni kuondoa wote , kamwe hawawezi kuwa ni solution ya matatizo kama taifa.

Kila mmoja akiondoka, atataka kuonesha Shida ilikuwa kwa mtangulizi wake, hivyo hapo Huwezi pata maendeleo , maana hakuna maturity na akili timamu . Wote ni wendawazimu
Usalama wa nchi hii upo shakani sana.
Vipao mbele vyao ni kudidimiza upinzani na si kuinua maisha ya Watanzania.
TISS Mungu anawaona.
 
Kwa kesi JPM, it's just matter of time, haitapita 5yrs, kunasiku mtu atalibutua, Kwanza wacha walumbaneeee wakifanya kosa wakaanza kufukuzana ndo utajua Sasa Nan atalibutua kopo la kombolela, ila ninauhakika kunasiku mtu atasimama kwa kukiri, ama kizimban akijib kuhusiana na suala hili..

Amen
 
JPM alijijua kama ni mgonjwa na hata ukimsikiliza hotuba zake alikuwa anaweka wazi kwa namna ya asili (subconscious).

Alijua kuwa afya yake sio nzuri na alijua hana muda mrefu duniani. Cha ajabu akawa anaishi kwa stress nyingi tofauti kabisa na maradhi aliyokuwa nayo.

Pia asingeshindwa kutibiwa Ulaya au USA kama angetaka, aliamua kuwa mbishi tu kwamba lolote na liwe. Alikuwa tayari kwa lolote.
 
Uongo ulianzia kwake yeye mwenyewe angalia data zilivyokua zinapikwa pale TRA kumfurahisha.

Wakati ashafariki mwenzie ndio anapiga fix ibadani kuwa chuma kiko imara!

Kwa hofu na uongo alioutengeneza ulificha mengi hadi wakawa hawaamini kuwa hayupo tena na wengine unaona wanavyopitia wakati mgumu kuishi bila yeye mbeleko imechanika na hawaamini
Haiwezekani kuwa uongo, pesa zote za kodi zilizokusanywa na TRA zilipelekwa BoT. Pesa zote za mashirika ya serikali yanayotengeneza pesa kama TPA, TANESCO nk zilikuwa zinapelekwa BoT kwa hiyo haiwezekani kwamba wapike data maana ni rahisi ku-cross check mawasilisho ya pesa kutoka TRA na mashirika yote ya umma.

Vv
 
Back
Top Bottom