JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
Kwa kweli nimeshtuka na kusikitika kumsikia Mchungaji Msigwa akidai kwamba yeye na viongozi wenzake waliohukumiwa walivuliwa nguo na kubakishwa uchi wa mnyama walipofikishwa gereza la segerea.
..kama Raisi Magufuli hakubaliani na vitendo hivyo vya udhalilishaji basi anapaswa kuwachukulia hatua wote waliohusika na tukio hilo.
..kama Raisi Magufuli hakubaliani na vitendo hivyo vya udhalilishaji basi anapaswa kuwachukulia hatua wote waliohusika na tukio hilo.