Gogle
JF-Expert Member
- Feb 26, 2013
- 1,495
- 867
Habari zenu wakuu,
Mara nyingi nimesikia kwenye habari
"Hakimu amemtaka mshtakiwa kutojibu chochote kwa kuwa mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo".
Sasa najiuliza kwanini serikali imepeleka kesi hiyo kwenye mahakama isiyo na mamlaka nayo. Je hawakujua kwamba mahakama waliyoipelekea kesi haina mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo?
Kama hivyo ndivyo taratibu zinavyoelekeza, je ni kwanini iwe hivyo? Hakuna haja ya kurekebisha taratibu hizo za kisheria ili kesi zipelekwe moja kwa moja kwenye mahakama zenye mamlaka nazo?
Naomba wajuzi wa sheria wanijuze.
Mara nyingi nimesikia kwenye habari
"Hakimu amemtaka mshtakiwa kutojibu chochote kwa kuwa mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo".
Sasa najiuliza kwanini serikali imepeleka kesi hiyo kwenye mahakama isiyo na mamlaka nayo. Je hawakujua kwamba mahakama waliyoipelekea kesi haina mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo?
Kama hivyo ndivyo taratibu zinavyoelekeza, je ni kwanini iwe hivyo? Hakuna haja ya kurekebisha taratibu hizo za kisheria ili kesi zipelekwe moja kwa moja kwenye mahakama zenye mamlaka nazo?
Naomba wajuzi wa sheria wanijuze.