Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,720
- 155,313
Forojo Ganze a.k.a Master,alikuwa ni mmoja kati ya wazee waliotumwa kufanya zindiko la nchi baada ya Uhuru kule Bagamoyo, walipewa kazi ya kuhakikisha Rais aliye madarakani hapingwi na mtu yeyote(Mwl.Nyerere), zindiko hilo lilifanyika bagamoyo ktk moja ya mashimo yanayopatikana wilayani hapo.
Forojo Ganze alikuwa ni kiongozi wa Vigwangala na Vingunge vilivyokithiri kwenye elimu ya mambo ya gizani.
Safu hii ilikuwa ya watu 5 ambao ni.
1.mzee ramadhan,alizaliwa mwaka 1920,2.Ally tarazo(1929),3.Komwe wa Komwe(1918),4.Sheihe Yahya Hussein(1925),na 5.Forojo Ganze (1902)
Forojo Ganze alikuwa ni kiongozi wa Vigwangala na Vingunge vilivyokithiri kwenye elimu ya mambo ya gizani.
Safu hii ilikuwa ya watu 5 ambao ni.
1.mzee ramadhan,alizaliwa mwaka 1920,2.Ally tarazo(1929),3.Komwe wa Komwe(1918),4.Sheihe Yahya Hussein(1925),na 5.Forojo Ganze (1902)