Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,796
- 12,239
Mara zote tumekuwa tukiaminishwa kuwa serikali haiwezi kuruhusu sherehe, mikutano na maandamano siku na saa za kazi kwa kisingizio watu wafanye kazi ili kujenga nchi ya viwanda! Cha kushangaza imeruhusu Simba kufanya shughuli zake za sherehe siku na saa za kazi?!
Haya marufuku ni kwa vyama vya siasa vya upinzani tu?
Haya marufuku ni kwa vyama vya siasa vya upinzani tu?