Kwanini Serikali haijengi Techinical College Kanda ya Ziwa badala yake wanarundika vyuo vyote Dodoma?

Mkuu chuo kikuu ni kwa ajili ya local communities? Hadi Kigezo cha idadi ya watu kizingatiwe? Je vyuo vikuu vinajengwa eneo fulani kwa sababu ya uchumi mkubwa uliopo eneo husika? Kwani hivi vyuo vunaenda kuuzwa ama kufanya biashara? Shida hasa ya kanda ya ziwa ni nini? Je wanafunzi wake kwa sasa hawapati nafasi ya kuingia katika vyuo vilivyo maeneo mengine ambayo wewe umeamua kuyata kanda? Wacha nane na haya mambo, ni moja hii na ni ya kila mtu.
Kwanini serikali ilundike mavyuo kanda moja na kusahau pengine? Sisi sote ni watanzania.
 
Mleta mada ni bwege. Eti ukanda wa ziwa una watu wanapenda masomo ya sayansi. Ni nani kakwambia chuo kinawekwa sehemu wenyeji wana maslahi nacho?? Kama chuo sio kwa ajili ya wenyeji TU basi haijalishi kiko wapi?? Moshi Tech ilikuwa ni kwa ajili ya mji wa Moshi? Au Mbeya Tech na Arusha Tech zilikuwa ni kwa akili ya wenyeji wa maneo hayo??

Nilidhani utaweka maslahi ya kiuchumi. Na kama ni hivo basi kuna makao makuu ya mikoa kadhaa hayana vyuo - Babati, Katavi, Songea, Shinyanga, Simiyu.

Je, kwanini sehemu hizo zisiwe na chuo hicho?? Au watu wa huko hawapendi masomo ya sayansi? Kuna sehemu katika nchi hii zinapaswa kusisimuliwa kiuchumi kwa kuwa na vyuo. Labda sio sahihi kwa chuo hiki kuwa Dodoma lakini kwa sababu zako za kijinga, wakiweke popote!!

Uwezo mdogo wa kufikiri ndio shida ya nchi hii.
Punguza jaziba kama vyuo vya tech vipo moshi na arusha, na umbali wa moshi na arusha ni kilometre ngap? Na kwanini kanda nzima ya ziwa hakuna chuo cha tech au university ata kimoja au sisi sio sehemu ya hii nchi? au wanaangalia vigezo gani ili kujenga hivi vyuo? mtuambie na sisi tupate kukidhi hivyo vigezo ili watoto wetu nao wapate kusoma kwenye vyuo vya karibu na nyumbani
 
kanda ya ziwa ni kanda pekee yenye watu wanaoweza kuihoji serikali kwa hoja na kwa vitendo na ndiyo kanda yenye wapigakura wengi.

kanda hii kukosa miundombinu ya elimu ya kutosha licha ya wingi wa watu wake inawezekana ni mkakati wa chama cha kijani na serikali yake kuendelea kuona kuwa watu hawa hawapati elimu ili kuwanyima maarifa ya kufikiri sawasawa.
Ata miundombinu ya barabara nayo ni shida, hakuna maji na ziwa lipo karibu hii serikali hii!!!!!??
 
Achana na hii serikali ya mafala wasiojua potential ipo wapi ndo maana hili linchi litaaki hivi hivi miaka 1000, waendelee kujenga dar na pwani kwa watu wa huko ndo wanastahili kusoma na miundombinu bora.
Yaani serkali ya CCM itakuja kukumbuka shaka kumekucha mmetuchezea sana kanda ya ziwa tunashukuru Magufuli kutukumbuka! Yaani hata chuo kikuuu kimoja hamna?
 
Panapo na chuo kuna fursa nyingi za biashara sio tu elimu
Basi ungejenga hoja vizuri, ulitumia kichaka cha usomi, nikakuuliza huo usomi waliupatia wapi, si ni huko vyuo viliko? Au unaogopa kulipa nauli? Hujui ukilipa nauli Ally's Star, Isamilo, Zuber na wengine hunafaika?
 
Huko Mwanza mjengewe vyuo vya uvuvi, kama ni vyuo vya ufundi basi iwe ufundi baiskeli...
 
Nasema hivo baada ya majuzi hapa kuona Serikali imeeanza ujenzi wa DODOMA TECHNICAL COLLEGE wakati Mwanza kuna tawi la chuo cha DIT ambalo linahitaji kupanuliwa na kuwa chuo kamili MWANZA TECHNICAL COLLEGE

Eneo la Kanda ya Ziwa ndo linalotoa wanafunzi wengi sana kwenye TECHNICAL College kulingana na vijana wa ukanda huo kupendelea masomo ya engineering.

Dodoma tayari ina vyuo vingi sana hivyo Serikali iangalie jinsi ya kusambaza vyuo kama hivi maeneo mengine.

Pia kwa Kanda ya Ziwa hakuna huo cha maana cha Serikali kinacho-deal na mambo ya Sayansi na Teknolojia.

Ombi langu kwa Serikali naomba sana Technical College Mwanza ipanuliwe ili watu wasome Diploma mbalimbali za engineering na niikumbusheTechnical za aina hii zipo Mbeya, Arusha na Dar es salaam.
Hata vyuo vya afya tu wamegoma kuongeza hapa bongo vipo vi3 tu
 
Nasema hivo baada ya majuzi hapa kuona Serikali imeeanza ujenzi wa DODOMA TECHNICAL COLLEGE wakati Mwanza kuna tawi la chuo cha DIT ambalo linahitaji kupanuliwa na kuwa chuo kamili MWANZA TECHNICAL COLLEGE

Eneo la Kanda ya Ziwa ndo linalotoa wanafunzi wengi sana kwenye TECHNICAL College kulingana na vijana wa ukanda huo kupendelea masomo ya engineering.

Dodoma tayari ina vyuo vingi sana hivyo Serikali iangalie jinsi ya kusambaza vyuo kama hivi maeneo mengine.

Pia kwa Kanda ya Ziwa hakuna huo cha maana cha Serikali kinacho-deal na mambo ya Sayansi na Teknolojia.

Ombi langu kwa Serikali naomba sana Technical College Mwanza ipanuliwe ili watu wasome Diploma mbalimbali za engineering na niikumbusheTechnical za aina hii zipo Mbeya, Arusha na Dar es salaam.
Ushsuri mzuri.
Well said
 
Mimi sioni shida Sana.

Huko Dodoma, Morogoro na Dar Kuna vyuo kibao lakin vimejazwa na wasukuma, Wahaya, Wanyakyusa na Wachaga, wenyeji unaweza husikute hata mmoja darasani zaidi ya kuwa mama ntilie nje

Kipi Bora wasomi au majengo ya vyuo.

Kagera hakunaga vyuo vya serikali lakin ndo mkoa wenye wasomi wengi hapa nchini
Nimependa hoja nzuri
 
Kanda ya Ziwa Magufuli tu ndio alipakumbuka. Hata home boy Nyerere hakupakumbuka.

Ukiangalia mchango wa kanda ya ziwa kwenye uchumi wa nchi hii na miradi ya maendeleo ambayo serikali inapeleka kule havilingani.

Angalia, kwa takwimu za BOT, Kanda ya Ziwa inachangia zaidi ya 35% ya pato la Taifa lakini hakuna chuo kikuu cha serikali kinachoeleweka, hakuna maendeleo, hakuna uwekezaji wowote serikali imefanya.

Magufuli apumzike kwa amani tu.
Wewe acha uzwazwa
Dar peke yake inachangia 89%
 
Nasema hivo baada ya majuzi hapa kuona Serikali imeeanza ujenzi wa DODOMA TECHNICAL COLLEGE wakati Mwanza kuna tawi la chuo cha DIT ambalo linahitaji kupanuliwa na kuwa chuo kamili MWANZA TECHNICAL COLLEGE

Eneo la Kanda ya Ziwa ndo linalotoa wanafunzi wengi sana kwenye TECHNICAL College kulingana na vijana wa ukanda huo kupendelea masomo ya engineering.

Dodoma tayari ina vyuo vingi sana hivyo Serikali iangalie jinsi ya kusambaza vyuo kama hivi maeneo mengine.

Pia kwa Kanda ya Ziwa hakuna huo cha maana cha Serikali kinacho-deal na mambo ya Sayansi na Teknolojia.

Ombi langu kwa Serikali naomba sana Technical College Mwanza ipanuliwe ili watu wasome Diploma mbalimbali za engineering na niikumbusheTechnical za aina hii zipo Mbeya, Arusha na Dar es salaam.
Dodoma ndio makao makuu ya nchi, wacheni wivu. Watanzania wote watasoma popote pale. Wacheni makao makuu papendeze.
 
Dodoma ndio makao makuu ya nchi, wacheni wivu. Watanzania wote watasoma popote pale. Wacheni makao makuu papendeze.
Ngoja tusubiri chuo kikubwa cha TEHAMA alichosema mama! Labda kanda ya ziwa itakumbukwa!
 
Ata miundombinu ya barabara nayo ni shida, hakuna maji na ziwa lipo karibu hii serikali hii!!!!!??
kitombile atlast umekuja kufunguka ukweli kaka😂😂 mi nilikuambia hii nchi yetu bado sana hii miji bado sana misri wanategemea mto nile tu unaotoka hapa kwetu lakini mwanza hapo maji meusi 🚶🚶
 
kitombile atlast umekuja kufunguka ukweli kaka😂😂 mi nilikuambia hii nchi yetu bado sana hii miji bado sana misri wanategemea mto nile tu unaotoka hapa kwetu lakini mwanza hapo maji meusi 🚶🚶
Kanda ya ziwa tuseme ukweli ni sehemu ambayo inajiendesha yenyewe bila msaada wowote wa serikali kabisa mfano Kuna ziwa maji shida,ukienda mijini barabara ndo shida kabisa mfano mwanza jiji kubwa vibarabara sasa ni kichekesho,kigoma na kagera ndo usiseme huko.Serikali imejitahidi kujenga kadaraja kabusisi/kigong kelele nchi nzima udhani kanajengwa Congo.Huduma za hospitali tunawashukuru sana kanisa katoliki la sivyo tungekufa kibudu,elimu sasa nako tushukuru kanisa katoliki la sivyo ni kifo cha mende.Ila sasa kila siku migodi mikubwa inafunguliwa na watu wanachoambulia ni kufa kwa kansa kwa sababu ya machemical ya migodi na mbuga kubwa za wanyama zipo kama serengeti.Serikali iwe makini sana la sivyo inchi yetu kuna siku itakuwa vipande vipande.
 
19 Reactions
Reply
Back
Top Bottom