Kwanini Serikali haijengi Techinical College Kanda ya Ziwa badala yake wanarundika vyuo vyote Dodoma?

sambulugu

JF-Expert Member
Jun 1, 2021
3,799
7,027
Nasema hivo baada ya majuzi hapa kuona Serikali imeeanza ujenzi wa DODOMA TECHNICAL COLLEGE wakati Mwanza kuna tawi la chuo cha DIT ambalo linahitaji kupanuliwa na kuwa chuo kamili MWANZA TECHNICAL COLLEGE

Eneo la Kanda ya Ziwa ndo linalotoa wanafunzi wengi sana kwenye TECHNICAL College kulingana na vijana wa ukanda huo kupendelea masomo ya engineering.

Dodoma tayari ina vyuo vingi sana hivyo Serikali iangalie jinsi ya kusambaza vyuo kama hivi maeneo mengine.

Pia kwa Kanda ya Ziwa hakuna huo cha maana cha Serikali kinacho-deal na mambo ya Sayansi na Teknolojia.

Ombi langu kwa Serikali naomba sana Technical College Mwanza ipanuliwe ili watu wasome Diploma mbalimbali za engineering na niikumbusheTechnical za aina hii zipo Mbeya, Arusha na Dar es salaam.
 
Wewe unafikiri kwann Kalemani kaondolewa?

Serikali haitaki Wasukuma wawe Wataalamu! Ndiyo maana Magufuli alikuwa ana lazimisha MAENDELEO YAENDE KANDA YA ZIWA. Kwa sasa baada ya JPM kuondoka taraatibu Serikali imeanza kurudishareverse ili Wasukuma wabaki palepale.

Sina hakika kama UDSM , UDOM, SOKOINE, IFM au BUSINESS COLLEGE kama wana Branches zao Kanda ya Ziwa( Kwa maana ya Mwanza)

Ukichungulia kwa jicho la tatu unaweza kugundua kuna Ubaguzi wa chinichini kwa Sukumaland.
 
Wewe unafikiri kwann Kalemani kaondolewa?

Serikali haitaki Wasukuma wawe Wataalamu! Ndiyo maana Magufuli alikuwa ana lazimisha MAENDELEO YAENDE KANDA YA ZIWA. Kwa sasa baada ya JPM kuondoka taraatibu Serikali imeanza kurudishareverse ili Wasukuma wabaki palepale...
Karne hii unawaza branch za vyuo,kama unaona elimu ni mali ifuate hata China
 
Wewe unafikiri kwann Kalemani kaondolewa?

Serikali haitaki Wasukuma wawe Wataalamu! Ndiyo maana Magufuli alikuwa ana lazimisha MAENDELEO YAENDE KANDA YA ZIWA. Kwa sasa baada ya JPM kuondoka taraatibu Serikali imeanza kurudishareverse ili Wasukuma wabaki palepale...
Daaa yaani kanda nzima hakuna chuo kikuu cha serkali kwa kweli maajabu haya!
 
Kanda ya Ziwa Magufuli tu ndio alipakumbuka. Hata home boy Nyerere hakupakumbuka.

Ukiangalia mchango wa kanda ya ziwa kwenye uchumi wa nchi hii na miradi ya maendeleo ambayo serikali inapeleka kule havilingani.

Angalia, kwa takwimu za BOT, Kanda ya Ziwa inachangia zaidi ya 35% ya pato la Taifa lakini hakuna chuo kikuu cha serikali kinachoeleweka, hakuna maendeleo, hakuna uwekezaji wowote serikali imefanya.

Magufuli apumzike kwa amani tu.
 
kuna mji unaitwa Chato kanda ya ziwa, waliwezeshwa kuwa na technical collage, ama ujenzi haujakamilishwa
 
Kanda ya Ziwa Magufuli tu ndio alipakumbuka. Hata home boy Nyerere hakupakumbuka
Yaani Nyerere miaka 25 madarakani ilishindwa hata kujenga chuo kikuu huko musoma! Na musoma pasingekuwa pamepoa hivyo kama pangekuwa na chuo kikuu!
 
Kaka Kagera na usomi wao wote hakuna chuo cha maana huko ni VETA nayo wamejenga juzi wakati wa JPM!
Mimi sioni shida Sana.

Huko Dodoma, Morogoro na Dar Kuna vyuo kibao lakin vimejazwa na wasukuma, Wahaya, Wanyakyusa na Wachaga, wenyeji unaweza husikute hata mmoja darasani zaidi ya kuwa mama ntilie nje

Kipi Bora wasomi au majengo ya vyuo.

Kagera hakunaga vyuo vya serikali lakin ndo mkoa wenye wasomi wengi hapa nchini
 
19 Reactions
Reply
Back
Top Bottom