Mwelewa
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 2,343
- 3,280
BARUA YA WAZI KWA WANAFUNZI WA CHUO KIKUU CHA MTAKATIFU AUGUSTINE - MWANZA (MAIN CAMPUS).
Dear all,
Lengo la barua hii ni kuhusu "utaratibu wa ulipaji ada" hapa chuoni na jinsi wanafunzi tunavyoumizwa na utaratibu huu ambao naamini haujajengwa kwenye misingi ya HAKI. Sijaona njia nyingine ya kufikisha ujumbe wangu zaidi ya kuandika barua hii ili na wewe ufikiri na uchukue hatua.
Ni wazi kuwa utaratibu unaotumiwa na Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine - Mwanza, kuhusu kushughulikia wanafunzi wanaoshindwa KULIPA ADA KWA WAKATI unaumiza, unatesa na haufai kuendelea.
Utaratibu huu unaotumika kushughulikia suala nililoainisha hapo juu ni kama ifuatavyo.
> Mwanafunzi yeyote anayeshindwa kulipa ada kwa wakati atalazimika kulipa faini ya kitu wanachoita "USUMBUFU".
> Kwa ajili ya usumbufu huu mwanafunzi atalazimika kulipa Tsh. 100,000/-
> Hata kama mwanafunzi atashindwa kumaliza kiasi cha Tsh. 2000/- (ELFU MBILI) atalazimika kulipa kiasi hiki hiki cha Tsh. 100,000/- kama faini.
> Hata kama mwanafunzi alilipa ada kwa WAKATI ila amechelewa kubadilisha risiti na yeye atalazimika kulipa "tozo" hii. (Hapa chuo hakijali kama pesa ilishaingia kwenye account yao kabla ya deadline date). Good example of DICTATORSHIP.
> Mwanafunzi huyu hatasikilizwa kwa namna yoyote ile (poor conflict resolution skills) kuhusu hitaji lolote linalohusu ulipaji ada.
> Hata kama mwanafunzi aliandika barua ya kuomba kuongezewa muda wa kulipa ada na barua yake IKAPOKELEWA bado suala lake halitosikilizwa kamwe. (Another example of DICTATORSHIP)
Hii ndio SAUT, lakini WANAFUNZI HAWANA SAUTI!
Hebu fikiri kuhusu hili na uone jinsi utaratibu huu unaotumiwa hapa chuoni unavyoweza kuwa na "HARUFU" ya rushwa kwa sababu hata hii faini anayotozwa mwanafunzi haijulikani inatumika katika lipi.
>Tupo wanafunzi tusiopungua 10,000 Chuo cha Mtakatifu Augustine - Mwanza (main campus).
> Wanafunzi wanaoshindwa kukamilisha ada kwa wakati ni wengi kwa sababu nyingi na nzito.
>Kwa kadirio la chini kabisa (inaweza kuwa zaidi ya hapa) wanafunzi 1000 wanashindwa kukamilisha ada kwa wakati kwa sababu tofauti tofauti.
> Idadi hii ya wanafunzi 1000 ni kwa kadirio la semester moja tu. Hivyo kwa semester mbili ni wanafunzi 2000 kwa kadirio lile lile.
> Wanafunzi 2000 kwa semesters zote mbili watalipa jumla ya Tsh MILIONI 200 KAMA FAINI TU.
> Kama idadi hii ya wanafunzi 2000 itaongezeka (obviously itaongezeka kutokana na hali ya maisha kwa ujumla) basi ni kiasi kikubwa sana cha pesa kinatengenezwa.
>Kwa maana hii, kwa miaka mitatu, yaana semester 6 jumla ya MILLIONI 600 inatengenezwa kwa kutoza wanafunzi "hard earned money" toka kwa wazazi, walezi au wanafunzi binafsi.
MASWALI NI JE KIASI HIKI KIKUBWA Tsh 200,000,000/- "KINACHOTENGENEZWA KWA MWAKA" NI MARADI AU NI NINI?
JE, SISI WANAFUNZI KWA HALI HII YA "UONEVU" TUENDELEE KUBAKI KIMYA KAMA HAYATUHUSU?
JE, HATUNA HAKI YA KUTETEA "MASLAHI YETU" KAMA WANAFUNZI?........ MBALI NA KUPATA ELIMU TU?
JE HATUNA HATA HAKI YA KUONGEA KUHUSU JAMBO HILI NA KUTOA "INPUTS" ZETU VILE TUNAPENDA MAMBO YAENDE?
HATUNA HAKI HII?
--------
Concerned student.
Dear all,
Lengo la barua hii ni kuhusu "utaratibu wa ulipaji ada" hapa chuoni na jinsi wanafunzi tunavyoumizwa na utaratibu huu ambao naamini haujajengwa kwenye misingi ya HAKI. Sijaona njia nyingine ya kufikisha ujumbe wangu zaidi ya kuandika barua hii ili na wewe ufikiri na uchukue hatua.
Ni wazi kuwa utaratibu unaotumiwa na Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine - Mwanza, kuhusu kushughulikia wanafunzi wanaoshindwa KULIPA ADA KWA WAKATI unaumiza, unatesa na haufai kuendelea.
Utaratibu huu unaotumika kushughulikia suala nililoainisha hapo juu ni kama ifuatavyo.
> Mwanafunzi yeyote anayeshindwa kulipa ada kwa wakati atalazimika kulipa faini ya kitu wanachoita "USUMBUFU".
> Kwa ajili ya usumbufu huu mwanafunzi atalazimika kulipa Tsh. 100,000/-
> Hata kama mwanafunzi atashindwa kumaliza kiasi cha Tsh. 2000/- (ELFU MBILI) atalazimika kulipa kiasi hiki hiki cha Tsh. 100,000/- kama faini.
> Hata kama mwanafunzi alilipa ada kwa WAKATI ila amechelewa kubadilisha risiti na yeye atalazimika kulipa "tozo" hii. (Hapa chuo hakijali kama pesa ilishaingia kwenye account yao kabla ya deadline date). Good example of DICTATORSHIP.
> Mwanafunzi huyu hatasikilizwa kwa namna yoyote ile (poor conflict resolution skills) kuhusu hitaji lolote linalohusu ulipaji ada.
> Hata kama mwanafunzi aliandika barua ya kuomba kuongezewa muda wa kulipa ada na barua yake IKAPOKELEWA bado suala lake halitosikilizwa kamwe. (Another example of DICTATORSHIP)
Hii ndio SAUT, lakini WANAFUNZI HAWANA SAUTI!
Hebu fikiri kuhusu hili na uone jinsi utaratibu huu unaotumiwa hapa chuoni unavyoweza kuwa na "HARUFU" ya rushwa kwa sababu hata hii faini anayotozwa mwanafunzi haijulikani inatumika katika lipi.
>Tupo wanafunzi tusiopungua 10,000 Chuo cha Mtakatifu Augustine - Mwanza (main campus).
> Wanafunzi wanaoshindwa kukamilisha ada kwa wakati ni wengi kwa sababu nyingi na nzito.
>Kwa kadirio la chini kabisa (inaweza kuwa zaidi ya hapa) wanafunzi 1000 wanashindwa kukamilisha ada kwa wakati kwa sababu tofauti tofauti.
> Idadi hii ya wanafunzi 1000 ni kwa kadirio la semester moja tu. Hivyo kwa semester mbili ni wanafunzi 2000 kwa kadirio lile lile.
> Wanafunzi 2000 kwa semesters zote mbili watalipa jumla ya Tsh MILIONI 200 KAMA FAINI TU.
> Kama idadi hii ya wanafunzi 2000 itaongezeka (obviously itaongezeka kutokana na hali ya maisha kwa ujumla) basi ni kiasi kikubwa sana cha pesa kinatengenezwa.
>Kwa maana hii, kwa miaka mitatu, yaana semester 6 jumla ya MILLIONI 600 inatengenezwa kwa kutoza wanafunzi "hard earned money" toka kwa wazazi, walezi au wanafunzi binafsi.
MASWALI NI JE KIASI HIKI KIKUBWA Tsh 200,000,000/- "KINACHOTENGENEZWA KWA MWAKA" NI MARADI AU NI NINI?
JE, SISI WANAFUNZI KWA HALI HII YA "UONEVU" TUENDELEE KUBAKI KIMYA KAMA HAYATUHUSU?
JE, HATUNA HAKI YA KUTETEA "MASLAHI YETU" KAMA WANAFUNZI?........ MBALI NA KUPATA ELIMU TU?
JE HATUNA HATA HAKI YA KUONGEA KUHUSU JAMBO HILI NA KUTOA "INPUTS" ZETU VILE TUNAPENDA MAMBO YAENDE?
HATUNA HAKI HII?
--------
Concerned student.