KASULI
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 599
- 669
Wewe nae umeanza vizurii ilaa ukazngua mwishon, Tanzania ipii yenye uwezo wa kutengeneza hayaa madubwashwaaYani uzi umejaa sana ushabiki huu.eti mtu anakuja mbele za watu anakwambia Urusi hana uwezo wa kutengeneza Aircraft carrier.huu si utani huu jamani kwani kwenye Aircraft carrier kuna nini cha ajabu pale.hata Tanzania tukiamua kutengeneza wala hatuwezi kushindwa maana ile sio siraha bali ni uwanja
Sent using Jamii Forums mobile app