Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,560
7000Acha uongo dr Mahenge ni mkinga wa makete na alishawahi kuwa mbunge wa makete!
7000Acha uongo dr Mahenge ni mkinga wa makete na alishawahi kuwa mbunge wa makete!
Kwa Mfano Simbachawene alifutwa kazi baada ya kutajwa kwenye ripoti ya madini ( kama sijakosea ) , huyu Rugimbana sababu ilikuwa nini ?
Sijakuelewa. Hiyo tarakimu inamaanisha nini?7000
Kushindwa kufanikisha mauaji ya Lisu!!Kwa Mfano Simbachawene alifutwa kazi baada ya kutajwa kwenye ripoti ya madini ( kama sijakosea ) , huyu Rugimbana sababu ilikuwa nini ?
Aiseeee !!!!Kushindwa kufanikisha mauaji ya Lisu!!
Huu ni uchochezi. Subiri waje wenye nchi yao.
Lohhh umeniacha tukuyu!! Hata sijaelewa mweeehhhh
Alimega muke ya mukubwa"Natambua kwamba Mamlaka ya uteuzi yaweza kumteua yeyote , popote na wakati wowote na kumfuta kazi yeyote , lakini bila shaka kunakuwa na sababu zozote zile , je kwa huyu Mheshimiwa ni kitu gani kilisababisha afutwe kazi ?" Cheo ni dhamana! cheo ni kama koti
Mimi nadhani sababu ni ile response yake ya haraka baada ya shambulio la Lissu. alifuatilia suala hilo na kutoa taarifa. aliionesha serikali ya JPM kama inajali sana maslahi ya Tundu Lissu.Naomba mwenye majibu ya hili anisaidie jamani .
Natambua kwamba Mamlaka ya uteuzi yaweza kumteua yeyote , popote na wakati wowote na kumfuta kazi yeyote , lakini bila shaka kunakuwa na sababu zozote zile , je kwa huyu Mheshimiwa ni kitu gani kilisababisha afutwe kazi ?
Natanguliza shukrani .
Kalikuwa kajinga sana wakati tunafuatilia stahiki zetu za kubomolewa nyumba kupisha upanuzi wa uwanja akawa na kauli za hovyo karma is a bitchNaomba mwenye majibu ya hili anisaidie jamani .
Natambua kwamba Mamlaka ya uteuzi yaweza kumteua yeyote , popote na wakati wowote na kumfuta kazi yeyote , lakini bila shaka kunakuwa na sababu zozote zile , je kwa huyu Mheshimiwa ni kitu gani kilisababisha afutwe kazi ?
Natanguliza shukrani .
Na huyohuyo ndio ana amua mazao yako anunue ama yakuozeeSometimes bora kuwa mkulima tu kuliko hivi vyeo vinavyotegemea maamuzi ya mtu mmoja.
Kwa nini unataka kujua kuhusu Rugimbana na si wengine waliotenguliwa? Pengine una kitu kidogo unakijua, anzia hapo ili tuchangie zaidi...
...Ni Mmahanji huyo..Mzaliwa wa hapo hapo wapi acha uongo ni Mkinga wa Njombe Makete huko.
Wewe nae ni muongo tu...Unamjua Mahenge?? Bilith Saatano Mahenge kwao ni Wilaya ya Makete huko Mkoani Iringa wala sio mgogo usidanganye watu...Sio mkolomije ni mzaliwa wa hapahapa dodoma huyu mzee mahenge namjua vizuri
Kwa sababu yeye alikuwa Mkt wa kamati ya ulinzi mkoa, alishindwa kuzuia kunguru mbeba watu kupaa angani na mgomba ulioliwa na wadudu 16 toka makao makuu ya nchi kwenda mashariki ya karibu
NshatubuWewe nae ni muongo tu...Unamjua Mahenge?? Bilith Saatano Mahenge kwao ni Wilaya ya Makete huko Mkoani Iringa wala sio mgogo usidanganye watu...
PointSometimes bora kuwa mkulima tu kuliko hivi vyeo vinavyotegemea maamuzi ya mtu mmoja.
Wakati lisu anashambuliwa nani alikuwa mkuu wa mkoa wa dodoma?
Ivi why kamanda wa polisi dodoma alibadilishwa?