Kwanini replacements zote ni UDSM?

2kimo

JF-Expert Member
Jan 23, 2014
2,029
2,071
Kila anayetumbuliwa, mbadala wake utatoka chuo kikuu Dar Es Salaam, kuna nini jamani?
wanaofanya vetting awamu hii wameona kitu gani chuoni hapo?

Kuna hasara ya idara kupata misukosuko maana wengi ya wateule ni watu very seniors kwa maana ya levels za taaluma, mwenye PhD akitolewa kuna kazi kuumba mwingine, siku zote tumekuwa na idadi ndogo za wafanyakazi wa umma na vyuo vikuu navyo vinaumia kama idara nyingine za umma. Kwa awamu hii nadhani zaidi ya watu 10 wameshateuliwa kwa nafasi mbalimbali! sijui itakuwaje hadi majipu yote yakiisha, tutaanza kuumba tena wakufunzi wabobezi wapya!

Mamlaka za uteuzi naomba zizingatia majukumu ya hawa watu na uhitaji wa chuo, sio kuwanyang'anya tu UDSM, chuo kita-suffer!
 
Kila anayetumbuliwa, mbadala wake utatoka chuo kikuu Dar Es Salaam, kuna nini jamani?
wanaofanya vetting awamu hii wameona kitu gani chuoni hapo?
Kuna hasara ya idara kupata misukosuko maana wengi ya wateule ni watu very seniors kwa maana ya levels za taaluma, mwenye PhD akitolewa kuna kazi kuumba mwingine, siku zote tumekuwa na idadi ndogo za wafanyakazi wa umma na vyuo vikuu navyo vinaumia kama idara nyingine za umma. kwa awamu hii nadhani Zaidi ya watu 10 wameshateuliwa kwa nafasi mbalimbali! sijui itakuwaje hadi majipu yote yakiisha, tutaanza kuumba tena wakufunzi wabobezi wapya!
mamlaka za uteuzi naomba zizingatia majukumu ya hawa watu na uhitaji wa chuo, sio kuwanyang'anya tu UDSM, chuo kita-suffer!

We unataka TANESCO ichukue na SUA tuliosoma kupima viuno vya miti na mambo ya faru john, haiwezekani
 
Ndio watu wenye uelewa sana na hata alama za wanaopangiwa pale si kama za vyuo vingine vile vya kata... asilimia 90 ya viongozi wote wa umma wamemalza pale

UDSM kilianza baada ya uhuru na hadi 70s faculties zote zilikuwa zimeshatimia.
kwa wazee wanaokuwa serikalini, sasa kama watakuwa wamesoma chuo kikuu nchini unadhani watakuwa wametoka Tumaini?

Lakini hoja sio ufaulu wa walimu au wanafunzi bali teuzi za uongozi wa kisiasa ambapo so far hakuna evidence kuwa wako vema kuliko yeyote aliyeondoka!

Rejea: elimu, TBC, Viwanda, etc hatuoni jipya lolote kwa karibu miezi 16 sasa!
Na hili suala la vyuo vya kata unalitoa wapi?
 
We unataka TANESCO ichukue na SUA tuliosoma kupima viuno vya miti na mambo ya faru john, haiwezekani
Kuna tofauti kubwa sana kati ya lecturer na administrator!
sio kila mkufunzi anaweza kuwa mtendaji mzuri ktk idara!
ila pia, kwa kila best person watakayemtoa mlimani, wajue wanaua chuo!
mtaalam anaweza kuwa consulted kwa nafasi yake muda wowote na taaluma yake inaweza kugemwa na kutumiwa vema na jamii, lkn sio kwa mkufunzi!
kama mwl wa chuo ata-beep then hatutarajii good outcome!
tungetengeneza board ya ushauri tukitumia watu wetu wa UDSM, ila tuwaache watusomeshee vijana wetu, otherwise itakuwa Loose loose situation!
 
Kila anayetumbuliwa, mbadala wake utatoka chuo kikuu Dar Es Salaam, kuna nini jamani?
wanaofanya vetting awamu hii wameona kitu gani chuoni hapo?
Kuna hasara ya idara kupata misukosuko maana wengi ya wateule ni watu very seniors kwa maana ya levels za taaluma, mwenye PhD akitolewa kuna kazi kuumba mwingine, siku zote tumekuwa na idadi ndogo za wafanyakazi wa umma na vyuo vikuu navyo vinaumia kama idara nyingine za umma. kwa awamu hii nadhani Zaidi ya watu 10 wameshateuliwa kwa nafasi mbalimbali! sijui itakuwaje hadi majipu yote yakiisha, tutaanza kuumba tena wakufunzi wabobezi wapya!
mamlaka za uteuzi naomba zizingatia majukumu ya hawa watu na uhitaji wa chuo, sio kuwanyang'anya tu UDSM, chuo kita-suffer!
Wangelalamika vikofia mngesema udini.
 
Ndio watu wenye uelewa sana na hata alama za wanaopangiwa pale si kama za vyuo vingine vile vya kata... asilimia 90 ya viongozi wote wa umma wamemalza pale
Hizi ni hoja za kitoto sana!Tunapozungumzia mafanikio ya kampuni huwezi kuzungumzia PhD. Chukulia watu kama Bakhresa,Bill gate ambaye hakumaliza hats chuo kikuu,akina Dangote nk.Wewe unaongelea PhD INA msaada gani kwenye uchumi hats kama MTU ana GPA ya 5?
 
Kila anayetumbuliwa, mbadala wake utatoka chuo kikuu Dar Es Salaam, kuna nini jamani?
wanaofanya vetting awamu hii wameona kitu gani chuoni hapo?
Kuna hasara ya idara kupata misukosuko maana wengi ya wateule ni watu very seniors kwa maana ya levels za taaluma, mwenye PhD akitolewa kuna kazi kuumba mwingine, siku zote tumekuwa na idadi ndogo za wafanyakazi wa umma na vyuo vikuu navyo vinaumia kama idara nyingine za umma. kwa awamu hii nadhani Zaidi ya watu 10 wameshateuliwa kwa nafasi mbalimbali! sijui itakuwaje hadi majipu yote yakiisha, tutaanza kuumba tena wakufunzi wabobezi wapya!
mamlaka za uteuzi naomba zizingatia majukumu ya hawa watu na uhitaji wa chuo, sio kuwanyang'anya tu UDSM, chuo kita-suffer!
Ndipo wamejaa classmates
 
Ndio watu wenye uelewa sana na hata alama za wanaopangiwa pale si kama za vyuo vingine vile vya kata... asilimia 90 ya viongozi wote wa umma wamemalza pale
Na wanaotenguliwa pia ni xudsm hivyo hawana weledi na maadili ni majinias kula desa la kukopi na kupesti publications za wazungu waliopost google na kwenye archieves!
 
Kwa sababu ndio waliomfundisha JPM mpaka akaelewa na kuwa raisi.Kwahiyo ana historia nzuri na UDSM.Sasa wewe nenda sijui ROIKO uone kama utaitwa ha ha ha
 
UDSM NDIO CHUO KIKUU NA KINA VICHWA BALAA..HUWEZI KUKIFANANISHA NA CHOCHOTE HAPA TZ HATA EAST AFRICA
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom