tatum
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 5,786
- 4,490
Watangazaji wengi wamekuwa wakimuuliza Mh Aden Rage kuhusu suala lolote likitokea kuhusu mpira wa miguu na mara chache sana Mzee Said Hamad El Maamry wa CAF.
Aden Rage ndiyo mtaalam wa sheria za mpira wa miguu hapa nchini au kwasababu tu alikuwa kiongozi wakati wa FAT.
Hatuna wachambuzi wengine wa soka kisheria zaidi ya Aden Rage?
Aden Rage ndiyo mtaalam wa sheria za mpira wa miguu hapa nchini au kwasababu tu alikuwa kiongozi wakati wa FAT.
Hatuna wachambuzi wengine wa soka kisheria zaidi ya Aden Rage?