Mzee Mfugale.Kwanini redio ebony FM inayosikika Iringa, Dar , njombe, mbeya imekuwa ikipiga nyimbo za maombolezoo tangu mwezi uliopitaa mpaka mwezihuu badotuu wanaomboleza , hakunakipindi chochotee tofauti nanyimbo za dini na misiba
Kwanini redio ebony FM inayosikika Iringa, Dar , njombe, mbeya imekuwa ikipiga nyimbo za maombolezoo tangu mwezi uliopitaa mpaka mwezihuu badotuu wanaomboleza , hakunakipindi chochotee tofauti nanyimbo za dini na misiba
Mfugale yupii yule manager wa tanroad wa zamani? Yulee alikuwa ni engineer aishie DSM , radio ebony ni tasnia ya habar ipoo Iringa uhusiano unakujajeeMkuu huna taarifa za kifo cha Mzee Mfugale na hufahamu uhusiano uliopo kati ya hiyo radio na huyo mzee aliyefariki?
Sijuii mzee. Hebufafanua kidogoo
Sio Mfugale yule wa Tanroads, Ni Mfugale mwengine amefariki hivi karibuni, nasikia ndio Mmiliki wa hicho kituoMfugale yupii yule manager wa tanroad wa zamani? Yulee alikuwa ni engineer aishie DSM , radio ebony ni tasnia ya habar ipoo Iringa uhusiano unakujajee
Mfugale yupii yule manager wa tanroad wa zamani? Yulee alikuwa ni engineer aishie DSM , radio ebony ni tasnia ya habar ipoo Iringa uhusiano unakujajee
ACHA kupotosha wanaomboleza kifo Cha bosi waoUkimzingua MBOWE inakula kwako
Nipe frequency zake nikasikilize niko dar es salaam nishuhudie izi habari za kuambiwa ambiwa sitakiKwanini redio Ebony FM inayosikika Iringa, Dar , Njombe, Mbeya imekuwa ikipiga nyimbo za maombolezoo tangu mwezi uliopitaa mpaka mwezi huu bado tu wanaomboleza, hakuna kipindi chochote tofauti na nyimbo za dini na misiba
Umepotoshwa wapi?ACHA kupotosha wanaomboleza kifo Cha bosi wao
Sasa unataka wafanye nini, mbwa wote wamekwisha mitaani Iringa, wamebaki nguruwe na kuku tu kitu ambacho Wahehe hawapendi.Kwanini redio Ebony FM inayosikika Iringa, Dar , Njombe, Mbeya imekuwa ikipiga nyimbo za maombolezoo tangu mwezi uliopitaa mpaka mwezi huu bado tu wanaomboleza, hakuna kipindi chochote tofauti na nyimbo za dini na misiba
Lakini msiba si umeshaisha? au nido alikuwa programs manager?Mzee Mfugale mmiliki wa Peacock Hotel Dar es Salaam aliyefariki hivi karibuni ni baba mzazi wa mmiliki wa hiyo radio. Infact zipo taarifa za chinichini kwamba huenda hata radio yy ndiyo alikuwa mmiliki halisi huyo mtoto ni shadow tu. So hiyo radio wako na msiba mzito. Hope umenielewa sawia hapo mkuu.
Mhhh Nilivyoona Neno "EBONY" Tu Nikajua Kuna Mambo mujarrab..Kwanini redio Ebony FM inayosikika Iringa, Dar , Njombe, Mbeya imekuwa ikipiga nyimbo za maombolezoo tangu mwezi uliopitaa mpaka mwezi huu bado tu wanaomboleza, hakuna kipindi chochote tofauti na nyimbo za dini na misiba