Kwanini Rais wa Uganda Museveni hang’oki Madarakani, haya ndiyo majibu yake

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,546
108,874
Some people think that being in government for a long time is a bad thing. But the more you stay, the more you learn. I am now an expert in governance “.

Shikamoo Rais Mzee Yoweri Amos Kaguta Museveni a.k.a Mwamba wa Mbarara a.k.a Mwamba wa Ankole a.k.a Mwanamume wa Vita vya Msituni Afrika nzima.

Nawasilisha.

Chanzo: AZ QUOTES
 
Some people think that being in government for a long time is a bad thing. But the more you stay, the more you learn. I am now an expert in governance “.

Shikamoo Rais Mzee Yoweri Amos Kaguta Museveni a.k.a Mwamba wa Mbarara a.k.a Mwamba wa Ankole a.k.a Mwanamume wa Vita vya Msituni Afrika nzima.

Nawasilisha.

Chanzo: AZ QUOTES
popoma nakuona
 
Tanzania tumetoka huko siku nyingi. Rais wetu anachapa kazi akimaliza muda wake atakuja mwingine na WaTZ tutasonga mbele.
 
Tanzania tumetoka huko siku nyingi. Rais wetu anachapa kazi akimaliza muda wake atakuja mwingine na WaTZ tutasonga mbele.
Acha kupotosha anakuja wa chama kile kile hata kwa kulazimisha kwa goli la mkono, hebu wekeni uwanja sawa kwanza ndio ujisifu ,sawa sawa? In Maalim voice

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom