Kwanini Rais SAMIA amesema mabango hataki, Je hii ndiyo demokrasia?

Kuna maneno yanayosemekana yametamkwa na mkuu wa nchi ya kwamba yeye hataki kuona wananchi wamebeba mabango. Swali langu ni kwanini hataki wananchi wafikishe ujumbe kwa njia ya mabango? Je wote wataweza kumuuliza maswali na kupata dukuduku na kero zao?

Mabango ni haki ya wananchi kueleza kero zao na kama kweli hataki basi tutakuwa tumepata pigo kubwa na huenda uongozi wake ukawa wenye matokeo hasi hasa ukizingatia sisi wananchi tunahitaji UHURU na haki ya KUSIKILIZWA.
Rais hakukataza mabango.
kasema mabango yawe ya kiataifa. Akikuta bango silakitaifa RC na wenzake wataondoka. Na kama wame wafinywa wasiweke mabango pia watakiona.
 
Kuna maneno yanayosemekana yametamkwa na mkuu wa nchi ya kwamba yeye hataki kuona wananchi wamebeba mabango. Swali langu ni kwanini hataki wananchi wafikishe ujumbe kwa njia ya mabango? Je wote wataweza kumuuliza maswali na kupata dukuduku na kero zao?

Mabango ni haki ya wananchi kueleza kero zao na kama kweli hataki basi tutakuwa tumepata pigo kubwa na huenda uongozi wake ukawa wenye matokeo hasi hasa ukizingatia sisi wananchi tunahitaji UHURU na haki ya KUSIKILIZWA.
Kipindi cha Mwendazake hamkutaka akosolewe zaidi ya mapambio

Mwacheni Mama afanyekazi yake...
 
Yuko sawa. Hataki kuona mabango ya kero wakati watendaji wa serikali wako huko kwenye maeneo ya wenye mabango. Simple tu.
Kwahiyo, mfano, watoto wetu wa msingi bado wanakaa chini. Hataki kusikia? Wanafunzi wanatakiwa kukaa darasani 40 hadi 45 kwa maelekezo ya Serikali. Je, tusimwambie kuwa watoto wamekuja likizo wanasema wanakaa 120 hadi 167? Basi sawa!
 
Kuna maneno yanayosemekana yametamkwa na mkuu wa nchi ya kwamba yeye hataki kuona wananchi wamebeba mabango. Swali langu ni kwanini hataki wananchi wafikishe ujumbe kwa njia ya mabango? Je wote wataweza kumuuliza maswali na kupata dukuduku na kero zao?

Mabango ni haki ya wananchi kueleza kero zao na kama kweli hataki basi tutakuwa tumepata pigo kubwa na huenda uongozi wake ukawa wenye matokeo hasi hasa ukizingatia sisi wananchi tunahitaji UHURU na haki ya KUSIKILIZWA.
Kifupi hajiamini na hana uwezo wa kujibu hoja za wananchi! Lazima aelezwe kuwa mabango ni njia ya wananchi kuwasilisha maoni yao nje ya utaratibu wa kawaida wa bunge.
 
Kuna maneno yanayosemekana yametamkwa na mkuu wa nchi ya kwamba yeye hataki kuona wananchi wamebeba mabango. Swali langu ni kwanini hataki wananchi wafikishe ujumbe kwa njia ya mabango? Je wote wataweza kumuuliza maswali na kupata dukuduku na kero zao?

Mabango ni haki ya wananchi kueleza kero zao na kama kweli hataki basi tutakuwa tumepata pigo kubwa na huenda uongozi wake ukawa wenye matokeo hasi hasa ukizingatia sisi wananchi tunahitaji UHURU na haki ya KUSIKILIZWA.
Kweli 'ume-lost' sio kwamba hayatakiwi, ila amezungumza kwa maana waeule wakafanye kazi ya kuhudumia wananchi na kutatua kero zao. Sio anakuja Rais kuna Bango 'hatuna Choo cha Stand' wakati kuna RC, RAS, DED na DC. Hizi sio zama za Jiwe anatoa maburungutu ya Hela kujenga Choo na kuanza kuwaita aliowateua Wapumbavu!

Enzi za Jiwe kuwa na Bango mpaka uwe umepangwa na Kitengo tofauti na hapo wazee wa Suti walikuwa wanalala chini na Raia wenye Mabango.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Kweli wewe kichwa wazi! Rais anapeleka ujumbe kwamba kama watumishi wa umma wote huko chini wakiwemo ma RC, DC, RAS DAS nk wanawajibika ipasavyo kusikiliza na kutatua kero za wananchi katika maeneo yao hakuna haja ya wananchi kubeba mabango kila wanapotokea viongozi wa kitaifa, sasa kauli ya Chalamila ni kama anasema "potelea mbali, wacha wabebe mabango ukitaka kutufukuza sawa tu! Ni utovu wa nidhamu, ni kukosa maadili ya utumishi wa umma, ni kukiuka maadili, mila na desturi za kiafrika, hatuwakanushagi wakubwa zetu hadharani! Upo hapo, Chala aache mizaha mizaha kwenye mambo ya msingi! Sasa sijui atarudi kushika chaki darasani na kufundisha sanaa, kuimba na michezo?
Kazi kwake, somo kapata, tena la nguvu!
Chala ametoa single, anaimba kinyalu, anaimba huyooo
 
Back
Top Bottom