Olaigwanani lang
JF-Expert Member
- Apr 26, 2012
- 541
- 175
Wananchi wote wa Tanzania ni lazima mujiulize siku chache zilizopita kwa wale mulioshuudia tukio lile..hapa mjini Arusha..rais wa Uganda, Rwanda pamoja na Burundi hwakuuzuria hafla hiyo..
Tetesi zilizopo na ambazo zinaonekana ni kweli ni kwamba ni kitendo cha Tanzania kupeleka majeshi yake Congo (DRC) kupambana na waasi wa m23 ambao wanaungwa mkono na uganda pamoja na rwanda je...ni nini mustakabali wa jumuia hii changa ya afrika mashariki kama wakubwa hawa wameanzanza kususiana...mapema hivi..
Je wananchi wenzangu tutafika kwa hali hii......?
Tetesi zilizopo na ambazo zinaonekana ni kweli ni kwamba ni kitendo cha Tanzania kupeleka majeshi yake Congo (DRC) kupambana na waasi wa m23 ambao wanaungwa mkono na uganda pamoja na rwanda je...ni nini mustakabali wa jumuia hii changa ya afrika mashariki kama wakubwa hawa wameanzanza kususiana...mapema hivi..
Je wananchi wenzangu tutafika kwa hali hii......?