Kwanini Rais Museveni hajaenda kuzuru kaburi la Hayati Magufuli Chato?

Hawa si walikuwa marafiki enzi za uhai wa hayati JPM, na kwenye msiba Rais Museveni hakuja, sasa mbona leo hajaenda kuzuru kaburi la mpendwa rafiki yake? Au ameenda kimyakimya?

3016752_IMG_20211129_184102.jpg
 
Hawa si walikuwa marafiki enzi za uhai wa hayati JPM, na kwenye msiba Rais Museveni hakuja, sasa mbona leo hajaenda kuzuru kaburi la mpendwa rafiki yake? Au ameenda kimyakimya?
Kaburi la mwendazake Lina u spesho gani hadi aende kuzuru? Acha ujinga mtoa mada.
 
Back
Top Bottom