Kwanini Rais mstaafu BENJAMIN MKAPA asistaafu siasa kulinda heshima yake kama Rais mstaafu

Alikaeli

Senior Member
Jul 30, 2016
169
193
Nimshukuru kwa kile alicho kifanya pindi alikwua madarakani ila sasa kwa ninavyomuona nina pendekeza ange staafu siasa hata vikao vya vyama vya siasa asingekuwa anahudhuria, abaki tu kama mshauri wa maswala ya nchi tu basi bila kuweka msimamo au mapendekezo ya kukibeba chama chochote.

  • Amekuwa mstari wa mbele kutafuta suluhu nchi zingine kwenye maswala ya amani nay a kisiasa ambayo imegubikwa ka migogoro mingi sana ila nchini kwake kuna mengi ya kisiasa ambayo hayaja kaa sawa na hayakai sawa hadi mataifa kuanza kuikosoa nchi yake, hii yaweza kuwa sio uonevu au ni uonevu ila inatoa picha nyingine tofauti kabisa, kumbuka mataifa yameandika mengi na atakapokuwa anaonekana kwenda kusuluhisha anaweza akanyooshewa kidole kuwa kwake kumemshinda huku ndio atafanya nini, isitoshe huko Burundi nilisikia malalamiko ya wapinzani kuhusu msimamo wa uongozi wa jitihada hizo kuwa unaweza ukawa unaegemea upande flani, yote haya ni ya kuangaliwa yasibezwe,
  • Malalmiko yanayo tolewa na wapinzani ndani ya nchi yake kuhusu mchakato wa katiba mpya, tume huru ya uchaguzi na hali ya kisiasa hajawa mstari wa mbele kuhakikisha linapata muarobaini, amekuwa sio mstari wa mbele kuonyesha jitihada ambazo zaweza kuepukana na malalamiko hayo, ila malalamiko kama hayo yakitokea nchi za nje akiitwa kusuluhisha anaweza akaenda kusuluhisha, hili bado sio sawa linamshushia heshima na hadhi kuwa anaona vibanzi nje ya macho ya wengine ila ndani ya nchi yake anakubaliana navyo, sio lazima ashirikishwe ndani ya nchi yake ila anaweza kushauriana na aliyeko madarakani au katoa kauli yake ili kusawazisha.
  • Malalamiko ya Umoja wa ulaya hivi karibuni na marekani na mataifa mengine yeye angesimama na kutoa ushauri ambao utasawazisha na kuondoa sintofahamu pia atoe kauli hadharani kwa kile ambacho walikianzisha wa kutaka kukiona kinaendelea.
Yote haya na mengi wanayo yajua kwa maoni yangu yanaweza yakamvunjia heshima wakihisi kuwa yumo pia kwenye maamuzi au anashiriki kwenye maamuzi kwa yanayo endelea nchini kwake hivyo mwisho wa siku kufanya asiwe baba wa ku enziwa bali wa kulaumiwa.

Kustaafu siasa na kuwa neutral ni bora zaidi kuliko kushiriki mara kwa mara na lawama zikawa nyingi. Haya ni mawazo binafsi na maoni tu.
 
Anafanya anachopenda, kwani unateseka?
Vipi kuhusu baba yenu Nyerere mbona hakustaafu siasa kiasi cha kumpinga Kikwete na Lowasa kuwania 1995?
 
Nimshukuru kwa kile alicho kifanya pindi alikwua madarakani ila sasa kwa ninavyomuona nina pendekeza ange staafu siasa hata vikao vya vyama vya siasa asingekuwa anahudhuria, abaki tu kama mshauri wa maswala ya nchi tu basi bila kuweka msimamo au mapendekezo ya kukibeba chama chochote.

  • Amekuwa mstari wa mbele kutafuta suluhu nchi zingine kwenye maswala ya amani nay a kisiasa ambayo imegubikwa ka migogoro mingi sana ila nchini kwake kuna mengi ya kisiasa ambayo hayaja kaa sawa na hayakai sawa hadi mataifa kuanza kuikosoa nchi yake, hii yaweza kuwa sio uonevu au ni uonevu ila inatoa picha nyingine tofauti kabisa, kumbuka mataifa yameandika mengi na atakapokuwa anaonekana kwenda kusuluhisha anaweza akanyooshewa kidole kuwa kwake kumemshinda huku ndio atafanya nini, isitoshe huko Burundi nilisikia malalamiko ya wapinzani kuhusu msimamo wa uongozi wa jitihada hizo kuwa unaweza ukawa unaegemea upande flani, yote haya ni ya kuangaliwa yasibezwe,
  • Malalmiko yanayo tolewa na wapinzani ndani ya nchi yake kuhusu mchakato wa katiba mpya, tume huru ya uchaguzi na hali ya kisiasa hajawa mstari wa mbele kuhakikisha linapata muarobaini, amekuwa sio mstari wa mbele kuonyesha jitihada ambazo zaweza kuepukana na malalamiko hayo, ila malalamiko kama hayo yakitokea nchi za nje akiitwa kusuluhisha anaweza akaenda kusuluhisha, hili bado sio sawa linamshushia heshima na hadhi kuwa anaona vibanzi nje ya macho ya wengine ila ndani ya nchi yake anakubaliana navyo, sio lazima ashirikishwe ndani ya nchi yake ila anaweza kushauriana na aliyeko madarakani au katoa kauli yake ili kusawazisha.
  • Malalamiko ya Umoja wa ulaya hivi karibuni na marekani na mataifa mengine yeye angesimama na kutoa ushauri ambao utasawazisha na kuondoa sintofahamu pia atoe kauli hadharani kwa kile ambacho walikianzisha wa kutaka kukiona kinaendelea.
Yote haya na mengi wanayo yajua kwa maoni yangu yanaweza yakamvunjia heshima wakihisi kuwa yumo pia kwenye maamuzi au anashiriki kwenye maamuzi kwa yanayo endelea nchini kwake hivyo mwisho wa siku kufanya asiwe baba wa ku enziwa bali wa kulaumiwa.

Kustaafu siasa na kuwa neutral ni bora zaidi kuliko kushiriki mara kwa mara na lawama zikawa nyingi. Haya ni mawazo binafsi na maoni tu.
Huyu mzee anaudhi sana..! Huwa anajiona anamzidi kila mtanzania akili.
 
Nimshukuru kwa kile alicho kifanya pindi alikwua madarakani ila sasa kwa ninavyomuona nina pendekeza ange staafu siasa hata vikao vya vyama vya siasa asingekuwa anahudhuria, abaki tu kama mshauri wa maswala ya nchi tu basi bila kuweka msimamo au mapendekezo ya kukibeba chama chochote.

  • Amekuwa mstari wa mbele kutafuta suluhu nchi zingine kwenye maswala ya amani nay a kisiasa ambayo imegubikwa ka migogoro mingi sana ila nchini kwake kuna mengi ya kisiasa ambayo hayaja kaa sawa na hayakai sawa hadi mataifa kuanza kuikosoa nchi yake, hii yaweza kuwa sio uonevu au ni uonevu ila inatoa picha nyingine tofauti kabisa, kumbuka mataifa yameandika mengi na atakapokuwa anaonekana kwenda kusuluhisha anaweza akanyooshewa kidole kuwa kwake kumemshinda huku ndio atafanya nini, isitoshe huko Burundi nilisikia malalamiko ya wapinzani kuhusu msimamo wa uongozi wa jitihada hizo kuwa unaweza ukawa unaegemea upande flani, yote haya ni ya kuangaliwa yasibezwe,
  • Malalmiko yanayo tolewa na wapinzani ndani ya nchi yake kuhusu mchakato wa katiba mpya, tume huru ya uchaguzi na hali ya kisiasa hajawa mstari wa mbele kuhakikisha linapata muarobaini, amekuwa sio mstari wa mbele kuonyesha jitihada ambazo zaweza kuepukana na malalamiko hayo, ila malalamiko kama hayo yakitokea nchi za nje akiitwa kusuluhisha anaweza akaenda kusuluhisha, hili bado sio sawa linamshushia heshima na hadhi kuwa anaona vibanzi nje ya macho ya wengine ila ndani ya nchi yake anakubaliana navyo, sio lazima ashirikishwe ndani ya nchi yake ila anaweza kushauriana na aliyeko madarakani au katoa kauli yake ili kusawazisha.
  • Malalamiko ya Umoja wa ulaya hivi karibuni na marekani na mataifa mengine yeye angesimama na kutoa ushauri ambao utasawazisha na kuondoa sintofahamu pia atoe kauli hadharani kwa kile ambacho walikianzisha wa kutaka kukiona kinaendelea.
Yote haya na mengi wanayo yajua kwa maoni yangu yanaweza yakamvunjia heshima wakihisi kuwa yumo pia kwenye maamuzi au anashiriki kwenye maamuzi kwa yanayo endelea nchini kwake hivyo mwisho wa siku kufanya asiwe baba wa ku enziwa bali wa kulaumiwa.

Kustaafu siasa na kuwa neutral ni bora zaidi kuliko kushiriki mara kwa mara na lawama zikawa nyingi. Haya ni mawazo binafsi na maoni tu.


Unamshukuru Mkapa for what, he was useless. Alifanya nini cha maana hapa nchini? Hakujaribu kuleta maendeleo yeyote ila alikuwa bize tu kuliibia taifa na kutufanya tuwe masikini zaidi.
 
Huyu mzee anaudhi sana..! Huwa anajiona anamzidi kila mtanzania akili.

Ndivyo walivyo useless people. Huyu alistahili kuwa jela ila watu wa CCM wanalindana tu.…marais wote waliopita ilibidi wawe history by now kwani kwa wenzetu wangekuwa walishauliwa tayari kwa sababu waliifilisi hii nchi na kufanya kuwa shamba la bibi. Magufuli anajitahidi sana kuirudishia heshima nchi yetu ila anaboronga tu hapa kwenye kuwalinda hawa viongozi waliopita. Angetuachia wananchi tujichukulie majukumu ya kuwaadhibu hawa watu, kwa kweli inauma sana kuwaona tu wanacheka kwenye TV. Tunataka katiba mpya ya kutowalinda marais ili muda wao ukiisha tuyapitie maovu yote walivyofanya na wakibainika waliboronga basi tuwanyonge, tumewachoka.
 
Nimshukuru kwa kile alicho kifanya pindi alikwua madarakani ila sasa kwa ninavyomuona nina pendekeza ange staafu siasa hata vikao vya vyama vya siasa asingekuwa anahudhuria, abaki tu kama mshauri wa maswala ya nchi tu basi bila kuweka msimamo au mapendekezo ya kukibeba chama chochote.

  • Amekuwa mstari wa mbele kutafuta suluhu nchi zingine kwenye maswala ya amani nay a kisiasa ambayo imegubikwa ka migogoro mingi sana ila nchini kwake kuna mengi ya kisiasa ambayo hayaja kaa sawa na hayakai sawa hadi mataifa kuanza kuikosoa nchi yake, hii yaweza kuwa sio uonevu au ni uonevu ila inatoa picha nyingine tofauti kabisa, kumbuka mataifa yameandika mengi na atakapokuwa anaonekana kwenda kusuluhisha anaweza akanyooshewa kidole kuwa kwake kumemshinda huku ndio atafanya nini, isitoshe huko Burundi nilisikia malalamiko ya wapinzani kuhusu msimamo wa uongozi wa jitihada hizo kuwa unaweza ukawa unaegemea upande flani, yote haya ni ya kuangaliwa yasibezwe,
  • Malalmiko yanayo tolewa na wapinzani ndani ya nchi yake kuhusu mchakato wa katiba mpya, tume huru ya uchaguzi na hali ya kisiasa hajawa mstari wa mbele kuhakikisha linapata muarobaini, amekuwa sio mstari wa mbele kuonyesha jitihada ambazo zaweza kuepukana na malalamiko hayo, ila malalamiko kama hayo yakitokea nchi za nje akiitwa kusuluhisha anaweza akaenda kusuluhisha, hili bado sio sawa linamshushia heshima na hadhi kuwa anaona vibanzi nje ya macho ya wengine ila ndani ya nchi yake anakubaliana navyo, sio lazima ashirikishwe ndani ya nchi yake ila anaweza kushauriana na aliyeko madarakani au katoa kauli yake ili kusawazisha.
  • Malalamiko ya Umoja wa ulaya hivi karibuni na marekani na mataifa mengine yeye angesimama na kutoa ushauri ambao utasawazisha na kuondoa sintofahamu pia atoe kauli hadharani kwa kile ambacho walikianzisha wa kutaka kukiona kinaendelea.
Yote haya na mengi wanayo yajua kwa maoni yangu yanaweza yakamvunjia heshima wakihisi kuwa yumo pia kwenye maamuzi au anashiriki kwenye maamuzi kwa yanayo endelea nchini kwake hivyo mwisho wa siku kufanya asiwe baba wa ku enziwa bali wa kulaumiwa.

Kustaafu siasa na kuwa neutral ni bora zaidi kuliko kushiriki mara kwa mara na lawama zikawa nyingi. Haya ni mawazo binafsi na maoni tu.
Astaafu mara ngapi?
 
rais hajiteui kusulusha migogoro kijana
Nazani anateuliwa ili ajue namna ya kutatua matatizo yake huku nyumbani, kama yanayofanyika huku nyumbani ndio sababu hizo hizo zinapolekea machafuko kwa nchi nyingine mpaka yeye anakuwa msuluhishi, hivyo anatakiwa kuchukua hatua huku tz kabla haijafikia hatua waliyofikia wenzetu,.sema sikio la kufa halisikii dawa.
 
Ndivyo walivyo useless people. Huyu alistahili kuwa jela ila watu wa CCM wanalindana tu.…marais wote waliopita ilibidi wawe history by now kwani kwa wenzetu wangekuwa walishauliwa tayari kwa sababu waliifilisi hii nchi na kufanya kuwa shamba la bibi. Magufuli anajitahidi sana kuirudishia heshima nchi yetu ila anaboronga tu hapa kwenye kuwalinda hawa viongozi waliopita. Angetuachia wananchi tujichukulie majukumu ya kuwaadhibu hawa watu, kwa kweli inauma sana kuwaona tu wanacheka kwenye TV. Tunataka katiba mpya ya kutowalinda marais ili muda wao ukiisha tuyapitie maovu yote walivyofanya na wakibainika waliboronga basi tuwanyonge, tumewachoka.
Yaani nyo,anokho umeharibu kila kitu ulipolitaja Jiwe tu!
 
Nimshukuru kwa kile alicho kifanya pindi alikwua madarakani ila sasa kwa ninavyomuona nina pendekeza ange staafu siasa hata vikao vya vyama vya siasa asingekuwa anahudhuria, abaki tu kama mshauri wa maswala ya nchi tu basi bila kuweka msimamo au mapendekezo ya kukibeba chama chochote.

  • Amekuwa mstari wa mbele kutafuta suluhu nchi zingine kwenye maswala ya amani nay a kisiasa ambayo imegubikwa ka migogoro mingi sana ila nchini kwake kuna mengi ya kisiasa ambayo hayaja kaa sawa na hayakai sawa hadi mataifa kuanza kuikosoa nchi yake, hii yaweza kuwa sio uonevu au ni uonevu ila inatoa picha nyingine tofauti kabisa, kumbuka mataifa yameandika mengi na atakapokuwa anaonekana kwenda kusuluhisha anaweza akanyooshewa kidole kuwa kwake kumemshinda huku ndio atafanya nini, isitoshe huko Burundi nilisikia malalamiko ya wapinzani kuhusu msimamo wa uongozi wa jitihada hizo kuwa unaweza ukawa unaegemea upande flani, yote haya ni ya kuangaliwa yasibezwe,
  • Malalmiko yanayo tolewa na wapinzani ndani ya nchi yake kuhusu mchakato wa katiba mpya, tume huru ya uchaguzi na hali ya kisiasa hajawa mstari wa mbele kuhakikisha linapata muarobaini, amekuwa sio mstari wa mbele kuonyesha jitihada ambazo zaweza kuepukana na malalamiko hayo, ila malalamiko kama hayo yakitokea nchi za nje akiitwa kusuluhisha anaweza akaenda kusuluhisha, hili bado sio sawa linamshushia heshima na hadhi kuwa anaona vibanzi nje ya macho ya wengine ila ndani ya nchi yake anakubaliana navyo, sio lazima ashirikishwe ndani ya nchi yake ila anaweza kushauriana na aliyeko madarakani au katoa kauli yake ili kusawazisha.
  • Malalamiko ya Umoja wa ulaya hivi karibuni na marekani na mataifa mengine yeye angesimama na kutoa ushauri ambao utasawazisha na kuondoa sintofahamu pia atoe kauli hadharani kwa kile ambacho walikianzisha wa kutaka kukiona kinaendelea.
Yote haya na mengi wanayo yajua kwa maoni yangu yanaweza yakamvunjia heshima wakihisi kuwa yumo pia kwenye maamuzi au anashiriki kwenye maamuzi kwa yanayo endelea nchini kwake hivyo mwisho wa siku kufanya asiwe baba wa ku enziwa bali wa kulaumiwa.

Kustaafu siasa na kuwa neutral ni bora zaidi kuliko kushiriki mara kwa mara na lawama zikawa nyingi. Haya ni mawazo binafsi na maoni tu.
Umenipotezea muda kusoma bandiko reeefu nilidhani kuna la maana kumbe pumba tupu!! kajipange tena.
 
Back
Top Bottom