calmdowndear
JF-Expert Member
- Jul 12, 2011
- 605
- 273
Nasikitika sana kumwona rais ambaye alitakiwa kkufuata sheria akiwa kinara wa kuvunja sheria
Kwenye hii picha hapo juu anaonekana yuko site hajavaa hi-viz, wala hard hat wala viatu ambavyo vinaendana na site ya ujenzi kwani viatu vyake ni rahisi sana kudungwa na misumari na kumdhuru
Hao wengineo (akina Makonda etc) pia wanafuata mfano wake. Huyu anajua fika sheria za Health and Safety ni muhimu na wasaidizi wake nao pia hata habari hawana na hawajali
sasa kama rain anaongoza kwa kuvunja sheria wengine tufanyeje?
Magu you can do better than this.