Kwanini Rais anayeongoza watu milioni 1 awe na madaraka kuliko Mkuu wa Mkoa wenye watu milioni nne?

Nichumu Nibebike

JF-Expert Member
Aug 28, 2016
8,660
15,743
Hapa najaribu kulinganisha kati ya mkuu wa mkoa wa Dar (yeyote anayekalia kiti hicho) na Rais wa Zanzibar.

Je, kwanini protocol za kichama na kiserikali zinampa heshima ya juu zaidi Rais wa watu milioni moja badala ya mkuu wa mkoa mwenye watu milioni nne?

Kikatiba na Kidemokrasia hili liko sawa?

Tujadili...
======================================================
UPDATE:
Naona watu wanatoka povu humu. Ingawa mtu unaweza kuwa unajua mambo mengi, ila huwezi kuwa unajua kila kitu... Kujifanya unajua kila kitu wakati hujui, ni uzumbukuku, ndio maana kwa hili nimejaribu kulitafakari sikupata majibu ila nikadhani kwa kuwa JF tuna uelewa tofauti, ninaweza kupata mawazo mbadala...
 
Hapa najaribu kulinganisha kati ya mkuu wa mkoa wa Dar (yeyote anayekalia kiti hicho) na Rais wa Zanzibar...

Je kwa nini protocol za kichama na kiserikali zinampa heshima ya juu zaidi Raisi wa watu milioni moja badala ya mkuu wa mkoa mwenye watu milioni nne?
Kikatiba na Kidemokrasia hili liko sawa?
Tujadili...
Zanzibar ni nchi na ni mbia sawa na Tanganyika kwenye huu muuungano wetu. Hivyo yule ni Rais wa nchi ya Zanzibar na siyo mkuu wa mkoa kama unavyoelekea kujiaminisha.
 
Hapa najaribu kulinganisha kati ya mkuu wa mkoa wa Dar (yeyote anayekalia kiti hicho) na Rais wa Zanzibar...

Je kwa nini protocol za kichama na kiserikali zinampa heshima ya juu zaidi Raisi wa watu milioni moja badala ya mkuu wa mkoa mwenye watu milioni nne?
Kikatiba na Kidemokrasia hili liko sawa?
Tujadili...
Kwani wewe hujui kuwa Zanzibar ni nchi? No matter ina watu wangapi...
 
Hapa najaribu kulinganisha kati ya mkuu wa mkoa wa Dar (yeyote anayekalia kiti hicho) na Rais wa Zanzibar...

Je kwa nini protocol za kichama na kiserikali zinampa heshima ya juu zaidi Raisi wa watu milioni moja badala ya mkuu wa mkoa mwenye watu milioni nne?
Kikatiba na Kidemokrasia hili liko sawa?
Tujadili...
Nina hakika 100% ww hujafika form 4, na kama umefika basi ndio wale wale
 
Hapa najaribu kulinganisha kati ya mkuu wa mkoa wa Dar (yeyote anayekalia kiti hicho) na Rais wa Zanzibar...

Je kwa nini protocol za kichama na kiserikali zinampa heshima ya juu zaidi Raisi wa watu milioni moja badala ya mkuu wa mkoa mwenye watu milioni nne?
Kikatiba na Kidemokrasia hili liko sawa?
Tujadili...
Kila mtu ni mjinga lakini huu ni ujinga uliopitiliza sijui tuuiteje
 
Sasa Mkuu wa mkoa ana chaguliwa au kuteuliwa

Unataka kumkuza huyu zumbukuku kuwa na hazi ya juu ya uraisi saahau
 
Back
Top Bottom