Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,315
- 7,731
Nina hakika 100% ww hujafika form 4, na kama umefika basi ndio wale wale
Remember Prof Lipumbwa.
Nina hakika 100% ww hujafika form 4, na kama umefika basi ndio wale wale
Wewe naye ndio yale yale Makinikia. Hakika Vita dhidi ya dawa za kulevya haijawahi kumuacha mtu salamaHapa najaribu kulinganisha kati ya mkuu wa mkoa wa Dar (yeyote anayekalia kiti hicho) na Rais wa Zanzibar.
Je, kwanini protocol za kichama na kiserikali zinampa heshima ya juu zaidi Rais wa watu milioni moja badala ya mkuu wa mkoa mwenye watu milioni nne?
Kikatiba na Kidemokrasia hili liko sawa?
Tujadili...
======================================================
UPDATE:
Naona watu wanatoka povu humu. Ingawa mtu unaweza kuwa unajua mambo mengi, ila huwezi kuwa unajua kila kitu... Kujifanya unajua kila kitu wakati hujui, ni uzumbukuku, ndio maana kwa hili nimejaribu kulitafakari sikupata majibu ila nikadhani kwa kuwa JF tuna uelewa tofauti, ninaweza kupata mawazo mbadala...