Jimmy_Msukuma
Senior Member
- Nov 1, 2018
- 153
- 181
Kwanini Rais anadhani kukusanya Hela ndio kukuza Uchumi?
Viwanda alivitaka sana, kapiga kelele miaka mitatu, kila kukicha anaonyeshwa cherehani tatu, sasa wala hazungumzii viwanda tena, sasa kodi ya machingaNaomba jibu. Title imejitosheleza.