Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,894
- 33,450
Mkuu ndio kwanza mama kashika madaraka hata siku 100 bado!Ondoeni hii dhana kwamba kila anayemkosoa Mama, anataka awe kama Hayati.
Subiri tu utajionea show! Hawa wanaofikiri wanamkomoa marehemu watakuja kula haya matapishi yao.
Nakushauri kuwa mtazamaji tu kwa sasa!