Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinachowaaponza ni rekodi zao kama ilivyosemwa hapo juu...Ni jambo la kawaida kwa askari jeshi kupewa kazi zingine kama u-DC,RC,balozi na nafasi nyinginezo mara wanapostaafu.Ni kwa nini askari polisi huwa hawapewi nafasi hizi?Huwa najiuliza sana.
Sasa mtu bogus kama Mahita utampa cheo cha udc unawatakia wema wakazi wa wilaya husika? yule hakuna anachojuwa zaidi ya maguvu na kukunja sura.Ni jambo la kawaida kwa askari jeshi kupewa kazi zingine kama u-DC,RC,balozi na nafasi nyinginezo mara wanapostaafu.Ni kwa nini askari polisi huwa hawapewi nafasi hizi?Huwa najiuliza sana.
Police wa Tanzania ni wapumbavu wanaotumikishwa na CCM naweza kuwafananisha na Diaper ikishatumika basi haina matumizi mengine ni kuitupa tu au kuipiga kiberiti.
khaaah!umenikumbusha enzi za ngangari na ngunguri..Sasa mtu bogus kama Mahita utampa cheo cha udc unawatakia wema wakazi wa wilaya husika? yule hakuna anachojuwa zaidi ya maguvu na kukunja sura.
Sasa wewe hapa umechangia nini? unatuuliza sisi swali kuhusu Tatu Ntimizi wakati alieanzisha hii thread ameauliza swali anataka kujibiwa sasa badala ya kumjibu na wewe unakuja na swali! Hizi elimu za kata ni janga kwa Taifa.Nasikitika kuwa wengi mliochangia hamfahamu vema historia ya u-dc kwa wanajeshi au polisi. wengi mna jazba juu ya Polisi kutokana na majukumu yake. Kwa ukweli ni kuwa Askari Polisi wengi wamesoma kuliko wa Jeshi la wananchi (usiniulize takwimu) kwani nature ya kazi tu inaonyesha hivyo. wahitimu wa chuo kikuu walianza kuingia Jeshi la Polisi miaka ya Sabini mwanzoni. Tukija katika hoja ya U DC Je Mnamfahamu Tatu Ntimizi? Je akuwahi kuwa DC? No research no right to speak
wakiwa makazini wanajishugulisha sana na majambazi wakubwa wakubwa serikali imeshindwa kuwaamini hata mmoja ndio maana mpaka leo wizi wowote ukisikia umepigwa akuna aliekamatwa katafute uhalisia wahusika wakuu wake wako pale karibu na ralway usiniulize ipi
Sasa wewe hapa umechangia nini? unatuuliza sisi swali kuhusu Tatu Ntimizi wakati alieanzisha hii thread ameauliza swali anataka kujibiwa sasa badala ya kumjibu na wewe unakuja na swali! Hizi elimu za kata ni janga kwa Taifa.
Asichojua ni kwamba Tatu Ntimizi alikuwa askari polisi kabla ya kuwa DC na baadae naibu waziri.Sawa mimi nina elimu ya kata wewe una elimu ya "mtaa". Mimi najua kuwa Tatu Ntimizi aliwahi kuwa DC,wilaya aliyofanya kazi ni Mpwapwa mkoani Dodoma,kwa hiyo nilichokuwa namaanisha ni kwa wewe ambaye hujui kwenda sasa kwenye net na kufanya utafiti si kuropoka ropoka tu kwa kuwa mdomo unao.
Usichojuwa wewe ni kwamba haujui nini maana ya topic, kama ungejuwa maana ya topic ungekuja na orodha ya maaskari polisi waliopewa U dc na U RC baada ya kustaafu. orodha ya JWTZ ni kubwa hakuna hata haja ya kuwataja hii ndio maana ya topic hii.Asichojua ni kwamba Tatu Ntimizi alikuwa askari polisi kabla ya kuwa DC na baadae naibu waziri.
Poa mkuu nadhani nimedandia daladala kwa mbele! Big up.Usichojuwa wewe ni kwamba haujui nini maana ya topic, kama ungejuwa maana ya topic ungekuja na orodha ya maaskari polisi waliopewa U dc na U RC baada ya kustaafu. orodha ya JWTZ ni kubwa hakuna hata haja ya kuwataja hii ndio maana ya topic hii.
Uko sahihi kabisa mkuu Matola,polisi hakika ni wa kuhesabu.JWTZ sijui wana mvuto gani kwa watawala mi sielewi.Usichojuwa wewe ni kwamba haujui nini maana ya topic, kama ungejuwa maana ya topic ungekuja na orodha ya maaskari polisi waliopewa U dc na U RC baada ya kustaafu. orodha ya JWTZ ni kubwa hakuna hata haja ya kuwataja hii ndio maana ya topic hii.