Kwanini polisi hawakuzuia mkutaano wa jana wa CHADEMA?

lendomza

JF-Expert Member
Jun 11, 2016
396
228
Nilirusha thread humu nikiwaambia kuwa polisi haikuzuia mikutano ya ndani ya vyama vya siasa wengi walinipinga na kunitukana, najiuliza hili, jana Mh. Lowassa alipokuwa akiongea na Mameya wa UKAWA/CHADEMA haukuwa mkutano wa ndani wa kisiasa? Mbona polisi hawakumzuia? CHADEMA na BAVICHA yake nafikiri sasa mtakuwa mmeelewa vizuri.
 
Ila kwenye ile issue ya mjadala wa bajeti ya ndg Zitto yenyewe ilikuwa ni aina gani ya mkutano? Maana yenyewe ilizuiliwa.



kabwe alikuwa amefukuzwa bungeni kuwa hiyo si dhani kama ilikuwa sahihi yeye aendeleze mijadala nje ya bunge!!kingine cha kujiuliza ni kuwa ni wapi mijadala ya bajeti inatakiwa ifanywe!!maana pale bungeni baada ya kujadili bajeti wanapiga kura kuikataa au kuikubali!!sasa ukiendesha mjadala nje ya bajeti Kuku uraiani wananchi unaowahubiria watapiga kura kuikubali au kuikataa bajeti?
 
Kwahiyo wanachozuia ni mahafali ya BAVICHA na makongamano ya ACT tu? Hawa PoliceCCM wenu ni wanafiki. Wameruhusu mkutano wa jana ufanyike kwa ajili ya kuulinda mkutano wa CCM wa tarehe 23 Julai. Shutuma ya udikteta kamwe hawaiepuka hawa viongozi wetu wa awamu hii. Sasa wanaambulia aibu.
 
kabwe alikuwa amefukuzwa bungeni kuwa hiyo si dhani kama ilikuwa sahihi yeye aendeleze mijadala nje ya bunge!!kingine cha kujiuliza ni kuwa ni wapi mijadala ya bajeti inatakiwa ifanywe!!maana pale bungeni baada ya kujadili bajeti wanapiga kura kuikataa au kuikubali!!sasa ukiendesha mjadala nje ya bajeti Kuku uraiani wananchi unaowahubiria watapiga kura kuikubali au kuikataa bajeti?
Mkuu,
Hivi wale wasomi (PWC) ambao huwa wanaendesha mjadala wa bajeti siku inayofuata baada ya bajeti kusomwa huwa pia ni mjadala ndani ya bunge?

Tafakari.
 
Mkuu,
Hivi wale wasomi (PWC) ambao huwa wanaendesha mjadala wa bajeti siku inayofuata baada ya bajeti kusomwa huwa pia ni mjadala ndani ya bunge?

Tafakari.


mimi nafikiri bunge linapoendelea wabunge wanatakiwa wabaki bungeni kujadili humo humo bungeni!! ukiruhusu mbunge atoke ndani halafu aendeleze siasa nje ya bunge tena kuwa kutumia mikutano ya hadhala itakuwa fujo!!
 
Kwahiyo wanachozuia ni mahafali ya BAVICHA na makongamano ya ACT tu? Hawa PoliceCCM wenu ni wanafiki. Wameruhusu mkutano wa jana ufanyike kwa ajili ya kuulinda mkutano wa CCM wa tarehe 23 Julai. Shutuma ya udikteta kamwe hawaiepuka hawa viongozi wetu wa awamu hii. Sasa wanaambulia aibu.

tatizo ni kwamba ni Mara chache sana chadema wanaendesha siasa za kistarabu!! mtu anaeneza uongo kujipatia sifa kuwa sababu anajua watanzania wengi hatujasoma na ni wavivu Wa kupambanua mambo!! unakumbuka jinsi chadema walivotudanganya eti Mh lowassa ni fisadi na ushahidi wanao??kiko wapi??
 
Nilirusha thread humu nikiwambia kuwa polisi haikuzuia mikutano ya ndani ya vyama vya siasa wengi walinipinga na kunitukana!!najiuliza hili:jana mh Lowassa alipokuwa akiongea na mamea wa ukawa /chadema haukuwa mkutano wa ndani wa kisiasa ??mbona polisi hawakumzuia?chadema na bavicha yake nafikiri sasa mtakuwa mmeelewa vizuri!!!
Wewe akili uliyonayo inakutosha kuujua Mlango wa Choo ulipo basi....Unazungumzia mkutano wa Jana kuruhusiwa Arusha.. Hujui tar23/ waGamba wanakutana Dodoma ukuchukulia Madogo wa Cdm wamewasha moto ulitaka Polis wajitetee vipi kutozuia Mkutano wa Dodoma....!!!
 
Nilirusha thread humu nikiwambia kuwa polisi haikuzuia mikutano ya ndani ya vyama vya siasa wengi walinipinga na kunitukana!!najiuliza hili:jana mh Lowassa alipokuwa akiongea na mamea wa ukawa /chadema haukuwa mkutano wa ndani wa kisiasa ??mbona polisi hawakumzuia?chadema na bavicha yake nafikiri sasa mtakuwa mmeelewa vizuri!!!
Wewe akili uliyonayo inakutosha kuujua Mlango wa Choo ulipo basi....Unazungumzia mkutano wa Jana kuruhusiwa Arusha.. Hujui tar23/ waGamba wanakutana Dodoma ukuchukulia Madogo wa Cdm wamewasha moto ulitaka Polis wajitetee vipi kutozuia Mkutano wa Dodoma....!!!
 
Aiseee Mamvi ni mtu ambae wengi wa wanacdm watamchukia kwa kauli yake kwamba cdm iache uanaharakat wa kutaka kuandamana wkt huko walixhatoka kitambo na sasa waje na wazo la kuchukua nchi bavicha wamechukiaajeee!!!!
 
Nilirusha thread humu nikiwambia kuwa polisi haikuzuia mikutano ya ndani ya vyama vya siasa wengi walinipinga na kunitukana!!najiuliza hili:jana mh Lowassa alipokuwa akiongea na mamea wa ukawa /chadema haukuwa mkutano wa ndani wa kisiasa ??mbona polisi hawakumzuia?chadema na bavicha yake nafikiri sasa mtakuwa mmeelewa vizuri!!!

Polisi ndo watakua wamelewa kuwa wao sio kazi yao kuibeba ccm kazi yao ni kulinda uslama wa raia...wameanza kujitambua kidogo kidogo kuwa wao ushabiki haufai....na hata hio ya nje itaruhusiwa yu...ni presha yu iengezeke...kwani. Mahufuli akitembea mikoani na kufanya mikutano na washabiki wake wakiwa na kijani sio siasa ? Wataelewa yu polisi ...wanayumika vibaya..leo bosi wao ccm kesho ukawa..
 
Wewe akili uliyonayo inakutosha kuujua Mlango wa Choo ulipo basi....Unazungumzia mkutano wa Jana kuruhusiwa Arusha.. Hujui tar23/ waGamba wanakutana Dodoma ukuchukulia Madogo wa Cdm wamewasha moto ulitaka Polis wajitetee vipi kutozuia Mkutano wa Dodoma....!!!


natamani uje nikudunde sindano upate akili ya kizalendo
 
Ila kwenye ile issue ya mjadala wa bajeti ya ndg Zitto yenyewe ilikuwa ni aina gani ya mkutano? Maana yenyewe ilizuiliwa.
Ila kwenye ile issue ya mjadala wa bajeti ya ndg Zitto yenyewe ilikuwa ni aina gani ya mkutano? Maana yenyewe ilizuiliwa.
Uwe na kumbukumbu wewe. Kumbuka Zitto alikuwa amefurushwa kutoka bungeni. Akiwa amejaa jazba, hamaki na ghadhabu anaitisha mkutano wa ndani. Unafikiri angewapandikizia nini wasikilizaji wake kama si jazba, hamaki na ghadhabu iliyojaa ndani yake? Matokeo ya mwisho bila shaka yangekuwa ni kupandisha mihemko na mizuka na kuhatarisha amani na utulivu.
 
Nilirusha thread humu nikiwaambia kuwa polisi haikuzuia mikutano ya ndani ya vyama vya siasa wengi walinipinga na kunitukana, najiuliza hili, jana Mh. Lowassa alipokuwa akiongea na Mameya wa UKAWA/CHADEMA haukuwa mkutano wa ndani wa kisiasa? Mbona polisi hawakumzuia? CHADEMA na BAVICHA yake nafikiri sasa mtakuwa mmeelewa vizuri.
Huwa wanajitoa fahamu kusudi tu. Chaso Dar, na Iringa walifanya mikutano. Waliozuiwa ni kasoro zao tu
 
Kwamba Watanzania ni mazuzu sana kiasi wanaweza kudanganywa tu kirahisi? Acha dharau zako kwa Watanzania, ni watu wanajua kutofautishapumba na mchele.
 
kabwe alikuwa amefukuzwa bungeni kuwa hiyo si dhani kama ilikuwa sahihi yeye aendeleze mijadala nje ya bunge!!kingine cha kujiuliza ni kuwa ni wapi mijadala ya bajeti inatakiwa ifanywe!!maana pale bungeni baada ya kujadili bajeti wanapiga kura kuikataa au kuikubali!!sasa ukiendesha mjadala nje ya bajeti Kuku uraiani wananchi unaowahubiria watapiga kura kuikubali au kuikataa bajeti?
Jibu swali,
Ule mkutano wa ACT uliovamiwa na polisi ilikua ni mkutano wa nje au wa ndani?
Mahafali ya chaso ya Dodoma na Kilimanjaro ni mkutano wa nje ama wa ndani?
 
mimi nafikiri bunge linapoendelea wabunge wanatakiwa wabaki bungeni kujadili humo humo bungeni!! ukiruhusu mbunge atoke ndani halafu aendeleze siasa nje ya bunge tena kuwa kutumia mikutano ya hadhala itakuwa fujo!!
Acha akili za kuku wewe,
Hiyo fikiri yako kuwa eti wabunge waongee tu wakiwa bungeni ni utumwa ambao hata mtoto Wako wa chekechea hawezi kuafiki.
 
Back
Top Bottom