Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
CCM mnapanic sana kila Lowasa akiinua mdomo wake.Aiseee Mamvi ni mtu ambae wengi wa wanacdm watamchukia kwa kauli yake kwamba cdm iache uanaharakat wa kutaka kuandamana wkt huko walixhatoka kitambo na sasa waje na wazo la kuchukua nchi bavicha wamechukiaajeee!!!!