Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,307
- 217,306
Amesikika Mh Waziri Mkuu bungeni akimpongeza Rais Samia kwa kuongeza pesa ya kununua Mahindi ya Wakulima zilizofikia Bilioni hamsini.
Kwa kadri ya ufahamu wangu Mh Rais hakuitoa hela hii kutoka kwenye Mshahara wake bali ametoa hela hii kutoka kwenye Mfuko wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , sasa PM na viongozi wengine wameshindwaje kusema Serikali ndio imetoa hii bilioni 50, na badala yake anatajwa Rais binafsi , as if hela hii ametoa kwenye pochi yake ya kwapani , huu utamaduni wa upotoshaji tumeiga kutoka wapi, tumeamua kudanganya kwa faida ya nani, hivi tukisema ukweli kwamba serikali ndio imetoa pesa huku kiongozi wa Serikali hiyo akiwa yeye Mh Rais tutapungukiwa nini?
Kwa kadri ya ufahamu wangu Mh Rais hakuitoa hela hii kutoka kwenye Mshahara wake bali ametoa hela hii kutoka kwenye Mfuko wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , sasa PM na viongozi wengine wameshindwaje kusema Serikali ndio imetoa hii bilioni 50, na badala yake anatajwa Rais binafsi , as if hela hii ametoa kwenye pochi yake ya kwapani , huu utamaduni wa upotoshaji tumeiga kutoka wapi, tumeamua kudanganya kwa faida ya nani, hivi tukisema ukweli kwamba serikali ndio imetoa pesa huku kiongozi wa Serikali hiyo akiwa yeye Mh Rais tutapungukiwa nini?