Kwanini pesa ikiongezeka Kwa wanandoa hasa mwanamke mambo huwa magumu Kwa mwanaume!

boris maganga

JF-Expert Member
Jun 11, 2017
382
374
Nimekuwa nikisikia hoja hii na nimeshuhudia visa kadhaa,kipato cha mwanamke kikiongezeka kumpita mwanaume basi kuna changamoto zinaibuka ndani ya uhusiano,ni kweli wanawake wenye fedha huwa jeuri na viburi kuliko wanaume.
 
Mwanaume anaweza kuishi miaka zaidi ya 15 na mwanamke asiyekuwa na kazi.. Ilihali mwanamke hawez maliza mwezi mmoja kuishi na mwanamme asiyekuwa na kazi
 
Shida huanza pale mwanamke anapoachiwa jukumu la kutafuta pesa, lazma alete ngebe tu!

Mwanamke apewe cherehani na duka tu. Afanyie shughuli zake nyumbani.
 
Nimekuwa nikisikia hoja hii na nimeshuhudia visa kadhaa,kipato cha mwanamke kikiongezeka kumpita mwanaume basi kuna changamoto zinaibuka ndani ya uhusiano,ni kweli wanawake wenye fedha huwa jeuri na viburi kuliko wanaume.
Mke wangu alishaniambia .....unajua Pythagoras ningekuwa na pesa unadhani ungenipata?

Mpaka leo hii kauli naifikiria sana. Siku akipata mchongo wa maaana akaondokana na utegemezi kwangu basi itakuwa imekula kwangu.
 
Mke wangu alishaniambia .....unajua Pythagoras ningekuwa na pesa unadhani ungenipata?

Mpaka leo hii kauli naifikiria sana. Siku akipata mchongo wa maaana akaondokana na utegemezi kwangu basi itakuwa imekula kwangu.
Afadhali amekuwa muwazi kwako ili ujiandae kisaikolojia kwa lolote.
 
Binafsi nilimkimbia mwanamke fulani mwenye kipato kiasi,baada ya kuona kila dalili kuwa muda si mrefu nitaanza kutumikishwa,japo tabia ya mtu ni sawa na ushuzi ukijampa tu lazima utoe harufu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom