boris maganga
JF-Expert Member
- Jun 11, 2017
- 382
- 374
Nimekuwa nikisikia hoja hii na nimeshuhudia visa kadhaa,kipato cha mwanamke kikiongezeka kumpita mwanaume basi kuna changamoto zinaibuka ndani ya uhusiano,ni kweli wanawake wenye fedha huwa jeuri na viburi kuliko wanaume.