epigenetics
JF-Expert Member
- May 25, 2008
- 269
- 80
Katika miaka ya karibuni, imekuwa "fashion" kwa wanafunzi waliosoma PCM form 6 kujiunga na vyuo vya biashara, yaani, kusoma B.Comm na BAF (Bachelor of Accounting and Finance). Utakuta hata wale waliopasua form 6 kwa kupata Div I kali (chini ya 6 pts) wanaenda kusoma hayo masomo. Hoja hapa si kuwa masomo haya ni mabaya (au rahisi) bali ni kuuliza, nini chanzo kunichowafanya wachague field hii?
Ni wanafunzi hawa hawa ambao tunawategemea sana wawe ndio wahandisi na wavumbuzi mahiri ambao wangeweza "kusaidia" taifa katika karne hii ya uvumbuzi (invention and innovation era). Kwanini sio Electrical Engineering, Telecomm, Computer Science, Civil Engineering?
Ni wanafunzi hawa hawa ambao tunawategemea sana wawe ndio wahandisi na wavumbuzi mahiri ambao wangeweza "kusaidia" taifa katika karne hii ya uvumbuzi (invention and innovation era). Kwanini sio Electrical Engineering, Telecomm, Computer Science, Civil Engineering?