balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 14,435
- 12,554
Shinyanga mjiniKatambi kapewa jimbo gani mbona ninetafuta sijaona mkuu
Shinyanga mjiniKatambi kapewa jimbo gani mbona ninetafuta sijaona mkuu
hiyo
MAKONDA AIJIBU HIVI MAREKANI BAAD YA KUMFUNGIA KWENDA HUKOUzuri wa watz maswali wanatunga wao. Then wanasema Ni mtihani na majibu wanatoa wao. Mambo yangekuwa rahisi namna hiyo kuyaelewa Basi Siasa ingekuwa sio Siasa.
La Masele, Shinyanga Mjini.Katambi kapewa jimbo gani mbona ninetafuta sijaona mkuu
Nimejikuta nacheka,,eti hawampendiWalisema Waitara angerudi Ukonga sasa wamebadilisha wamempeleka akapambane na VOLCANO ya Heche!!! Inaelekea hawampendi!!!
Lakini pia mshindani wake kuna muda aliwakorofisha Viongozi wa kitaifa...alikua kwenye mafaili ya mangula Kwa muda...Katambi alifanya smart move kwenda kugombea Shinyanga kwani alishajua mapungufu ya mshindani wake.Katambi mjanja juzi alimtukana lissu na kujianzishia Uzi humu watu wakamfokea hatimaye kaonekana
Watu mnafukua poa sana vijanaUnafiki ni mmojawapo ya vigezo kupata uongozi huko CCM.
View attachment 1543085
Akimsogeza Dodoma atawateka na kuwatesa na kuwauwa wabunge wenzie wa CCM wanaoikosoa serikali bungeniKama jiwe atashinda atamteua ubunge viti maalum kisha atamuundia wizara maalum ya kikosi kazi cha utekaji na uuaji!
CCM wameogopa kumteua MAkonda Kwa kukwepa wapinzani kushinda Kigamboni Kwa kumwekea MAkonda Pingamizi kuhusu elimu na majina yake...too vulnerable na CCM hawawezi chukua hiyo Risk.Makonda hakuwa mjanja. Angejikita Kawe angepita. Ndungulile baba yake alikuwa ni mtu wa system. Hao hawakatwi, huoni akina Nape, January wamesurvive pamoja na ukaidi wao hapo nyuma.