kwa mujibu wa gazeti la Annur sheikh Ilunga amekamatwa na kufunguliwa mashtaka, Nalipongeza swala hili ili sheria ifanye kazi yake .
lakini kwa mujibu wa taarifa za mwanzo Miezi 5 iliopita zilitolewa na polisi waliokuwa wanatafutwa ni sheikh Ilunga na Padri Mpemba kwa mujibu wa magazeti mengi yalisema hivyo
Swali mbona Padri mpemba hakamatwi na kupelekwa mahakamani kama sheikh Ilunga ili mahakama ichukue hatua?
Au padri mpemba kasemehewa kabla ya mahakama kuamua?
huu ndio utawala wa sheria?
Haya mwaswali
TUJIKUMBUSHE YALIONDIKWA KATIKA GAZETI LA SEREKALI LA HABARILEO KUHUSU KUTAFUTWA KWA ASKOFU MPEMBA.
http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/9521-askofu-mchochezi-atakiwa-kujisalimisha
tAARIFA YA POLISI MWANZA
[h=3]Masheikh, askofu waingia matatani kwa uchochezi[/h]By Waandishi Wetu
Imewekwa Thursday, February 28 2013 at 12:01
Kwa upande wake Askofu Mpemba wa Kanisa la Tanzania Field Evangelist yeye anasakwa kutokana na kutoa mkanda wa video (DVD) yenye jina la Inuka Chinja Ule ambayo imepelekea watu kupigana na kusababisha vifo. Polisi inamtaka askofu huyo kujisalimisha polisi haraka vyenginevyo ili kuchukuliwa hatua za kisheria
lakini kwa mujibu wa taarifa za mwanzo Miezi 5 iliopita zilitolewa na polisi waliokuwa wanatafutwa ni sheikh Ilunga na Padri Mpemba kwa mujibu wa magazeti mengi yalisema hivyo
Swali mbona Padri mpemba hakamatwi na kupelekwa mahakamani kama sheikh Ilunga ili mahakama ichukue hatua?
Au padri mpemba kasemehewa kabla ya mahakama kuamua?
huu ndio utawala wa sheria?
Haya mwaswali
TUJIKUMBUSHE YALIONDIKWA KATIKA GAZETI LA SEREKALI LA HABARILEO KUHUSU KUTAFUTWA KWA ASKOFU MPEMBA.
http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/9521-askofu-mchochezi-atakiwa-kujisalimisha
tAARIFA YA POLISI MWANZA
[h=3]Masheikh, askofu waingia matatani kwa uchochezi[/h]By Waandishi Wetu
Imewekwa Thursday, February 28 2013 at 12:01
Kwa upande wake Askofu Mpemba wa Kanisa la Tanzania Field Evangelist yeye anasakwa kutokana na kutoa mkanda wa video (DVD) yenye jina la Inuka Chinja Ule ambayo imepelekea watu kupigana na kusababisha vifo. Polisi inamtaka askofu huyo kujisalimisha polisi haraka vyenginevyo ili kuchukuliwa hatua za kisheria