edwayne
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 8,878
- 9,673
Otorong'ong'o,
Hawawezi kuelewa wanadhani wakatoliki tunakurupuka mpaka jambo litambulike lazima lipitie upelelezi yakinifu. Mfano watu wenye kuombea mapepo kupata kibali hiko kwa kanisa katoliki lazima upitie process nyingi lazima utoe pepo mbele ya viongozi ili idhihirike hufanyi utani
Hawawezi kuelewa wanadhani wakatoliki tunakurupuka mpaka jambo litambulike lazima lipitie upelelezi yakinifu. Mfano watu wenye kuombea mapepo kupata kibali hiko kwa kanisa katoliki lazima upitie process nyingi lazima utoe pepo mbele ya viongozi ili idhihirike hufanyi utani