Wapo watakaoamshwa mara Yesu ajapo, lakini siyo Bikira Maria.
Kwa kifupi ni kwamba, huwezi kumlinganisha Bikira Maria na mtu yeyote awaye yote.
Hata katika mazingira ya kawaida kabisa, MAMA wa mtu maarufu huheshimiwa sana, kwa mfano MAMA wa Rais wa nchi ni lazima ataheshimiwa karibu sawa na anavyoheshimiwa Rais mwenyewe.
Je, MAMA aliyemzaa Mkombozi (Mungu ) asiheshimiwe?
Kwa kifupi ni kwamba, huwezi kumlinganisha Bikira Maria na mtu yeyote awaye yote.
Hata katika mazingira ya kawaida kabisa, MAMA wa mtu maarufu huheshimiwa sana, kwa mfano MAMA wa Rais wa nchi ni lazima ataheshimiwa karibu sawa na anavyoheshimiwa Rais mwenyewe.
Je, MAMA aliyemzaa Mkombozi (Mungu ) asiheshimiwe?