MJADALA: Kwanini Padri Luther aliondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia, na kwanini alijiondoa kanisa Katoliki?

Swari liko hivi kama mtu anapokufa roho humuludia muumba sasa kwa ss wakiristo yesu atakuja kuwafufua wakina nani????
 
allIneedisloyality,
Mwandish wa kitabu hicho alikua n nan...? Maisha yake yalikuaje...? Alifanya shughul gan...? Kwa nn tumuamn mwandish wa kitabu hicho...? N sawa n kuniambia nimuamn Erick shigongo...


Hil n swala la Iman kwa hyo kila kitu unapaswa kuleta reference ya neno la mungu kutoka kwenye biblia...asante
 
KWANINI PADRE Luther ALIFUKUZWA KANISA KATOLIKI? NA KWANINI ALIONDOA BAADHI YA VITABU KWENYE BIBLIA AGANO LA KALE?

Padre Luther alikuwa miongoni mwa Mapdre wenye karama nyingi ndani ya Kanisa katoliki wakati wake, Yeye alikuwa na Madai mengi sana juu ya mapungufu kwa kanisa. Hata hivyo madai yake mengi hayakuwa na msingi wowote.

Moja ya madai yake ilikuwa ni kuondoa kibali cha kwamba baada ya kuungama muumini asipewe stakabadhi ya kuonesha ameungama kwa kuwa kitubio ni siri ya MTU. Hili lilifanyiwa kazi. Mengine ikiwemo kurekebisha mfumo WA sala ya Kanuni ya Imani. Na mambo mengine mengi ambayo alipojibiwa, yeye hakuridhika pamoja na kueleweshwa vya kutosha. Alikuwa ni Great Thinker sana.


Mbaya zaidi alipokuja kusababisha mpaka akajitenga na kanisa ni kitendo cha kuondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia ikiwemo pia kupunguza baadhi ya mistari kwenye vitabu kama cha Esta na Cha Danieli.
Aliondoa vitabu vya Deutrokanoni na vingine baadhi na kuwa jumla ya vitabu 7 vilivyotolewa kwenye Biblia. Na kila kitabu alikuwa na sababu yake aliyoibainisha. Kimsingi alipata wafuasi wengi WA kumuunga mkono hoja yake hasa wale ambao walikuwa wanatafta njia ya kuchuma pesa kiulaini. Na hapo Biblia mpya ilianza yenye Vitabu pungufu.

Na ndio maana Leo watu hawaujui Ukristo vizuri na wanakinzana bila kujua historia ya kanisa. Watumishi wengi WA Mungu hasa HAWA WA kileo wasiojua nhistoria vizuri wao kila kitu wanapinga. Sio kosa lao Bali ni kosa la kutokujua historia ya kanisa.
Matumizi ya Ubani yalipingwa sana, na hapa ilikuwa ni kuondoa idadi ya waelewa. Kutokana na watu wengi walikuwa wamegeuka kama waganga kila mapepo ya kiwakabili walitumia ubani kuyafukuza na yalikimbia, lakini watu walijisahau kusali na kuomba na hata kufika ibadani ikawa nadra maana wanajua kujiponya kuondokana na majini na wachawi. Hapa Padre Luther na wenzake wakapiga marufuku matumizi ya ubani na kuwa sihi wakazanie Neno zaidi.

Hapa walichotakiwa kufanya ni kuliishi Neno la Mungu na wakati WA ibada basi ubani uchomwe kama Mungu alivyo agiza.
Luther na wenzake lengo lao lilikuwa ni biashara hapo baadae na kimsingi mpango huo ulifanikiwa. Na ndio maana mpaka Leo watu wametawaliwa na mfumo WA majini katika maisha yao kwa kuwa wamefungwa akili ya kujitambua na wanaamini maneno ya mdomoni na sio Maandiko ya Biblia kama yanavyosema.
Nimengi ya kujifunza sana Leo hii lakini kwa Leo naishia hapa.

deogratius Nalimi Kisandu.
1. 1. 2017.


HII DOCUMENTARY KUTOKA BBC ITAKUPA MAJIBU

 
Mwandish wa kitabu hicho alikua n nan...? Maisha yake yalikuaje...? Alifanya shughul gan...? Kwa nn tumuamn mwandish wa kitabu hicho...? N sawa n kuniambia nimuamn Erick shigongo...


Hil n swala la Iman kwa hyo kila kitu unapaswa kuleta reference ya neno la mungu kutoka kwenye biblia...asante
Hatuangalii mwandishi wa kitabu ni nani.... na hiki ndio kitu pekee watu wengi wanafeli.... tunachoangalia ni je alichokiandika kina mantiki na pia kina uhusiano na bible.... ndio maana nikasema ni kitabu ambacho reference yake ni biblia... unachoshindwa kuelewa ni nn labda au hujui maana ya reference?

Tatizo kubwa lililopo ni kwamba watu wengi humu ndani hawapendi kusoma, kama ilivyo jadi yetu watu wenye ngozi nyeusi...... nilipokuambia usome nilikuwa na maana yangu, kwa maana hayo majibu yote ungeyapata nadani ya hicho kitabu... halafu ni uchizi wa hali ya juu kufananisha alichokiandika huyo jamaa na story eti za Eric Shigongo.... usiongee tu eti ilimradi una kitu cha kuongea tumia akili mkuu
 
Hatuangalii mwandishi wa kitabu ni nani.... na hiki ndio kitu pekee watu wengi wanafeli.... tunachoangalia ni je alichokiandika kina mantiki na pia kina uhusiano na bible.... ndio maana nikasema ni kitabu ambacho reference yake ni biblia... unachoshindwa kuelewa ni nn labda au hujui maana ya reference?

Tatizo kubwa lililopo ni kwamba watu wengi humu ndani hawapendi kusoma, kama ilivyo jadi yetu watu wenye ngozi nyeusi...... nilipokuambia usome nilikuwa na maana yangu, kwa maana hayo majibu yote ungeyapata nadani ya hicho kitabu... halafu ni uchizi wa hali ya juu kufananisha alichokiandika huyo jamaa na story eti za Eric Shigongo.... usiongee tu eti ilimradi una kitu cha kuongea tumia akili mkuu
Mkuu kwa nn yeye awe tofaut....? Una uhakika gan na maandiko yake...? Je alifanya kaz gan...? Je alikua n mwinjilist, Nabil,mwalim ama mchangaj, je n kitu kilicho mu influence yeye aandike kuhusu Iman...? Je aliongozwa na roho mtakatifu ama utash wake...? Huon alichokiandika na sawa na story za kina Erick shigongo...? Yaan Hana tofaut na kina Hellen Katka kuandika majarida na vtabu...huon ww ndo hutumii hakir...?

Unafkr Iman n sawa na quantum physics au mkuu...hebu acha Utan... Kuamn binadam mwenzako alichokiandika Bila proof huon kama n ukose wa hakir...hebu tumia common sense...biblia haina reference na ukitaka kuleta reference inabd uanze kuongelea historia ya biblia na utunz wake hapa ndo maswal meng kuhusu Iman yanapotokea...

Asante na samahan kama nmetumia maneno ya kejel

Sent from my E2303 using JamiiForums mobile app
 
na utakuwa mpinga kristo
Tatzo ndio hlo!! Akili zkisha fungwa upande mmoja kila kitu mtacholetewa kwenu mtakipinga:

Hata Leo hii mkiambiwa KUWA Osama bin laden hakuuawa na wamarekani au osama hakuhusika na tukio LA September 11 bado mtabsha mpaka misuli ya dhingo iwasimame kwakuwa wataalamu WA propaganda wamesha piga super glue ktk bongo zenu, hatmaye hats MTU akija na ukweli WA miaka 70 iliyopota kwenu mtamshangaa na kumzihak kana kwamba amerukwa na akili!!

Hao BBC wenyewe NI wale wale tu!
 
.
*uandishi wako unaonyesha kua huijui historia ya kanisa,,,
kwa mfano huzungumzii sala kwa bikira maria na cheo chake cha umalkia, ubatizo,,, imani, na neno..
Haya tujuze chanzo cha kanisa LA kwanza lilijengwa nchi gani? Na pia utujuze chanzo cha madhebu km protestant, Lutheran, mashahd WA yehova nk,
 
mr.sparon,
mkuu unachoshindwa kunielewa ni nini? unaleta stori za reference ya biblia, kuna sehemu me nimezungumza reference ya biblia?.... sijazungumzia reference ya biblia ila nimezungumza kuwa reference ya kitabu alichoandika yeye ni baadhi ya vifungu katika biblia....unachoshindwa kuelewa ni nn? eric shigongo huwa anatoa reference ya vile anavyoviandika? mbna unajaribu kufananisha vitu visivyokuwa na uhusiano?... maswali mengine umeniuliza kuhusu maisha yake binafsi sina ya kukujibu sababu kila kitu amekieleza humo..... kama umeshindwa kusoma... just leave it as it is.... nisingekuwa na sababu ya kuandika reference kuwa ni biblia kama stori yake ingekuwa inafanana na ya shigongo.... ubishi mwingine hausaidii
 
allIneedisloyality,
Mkuu hapo ndo tunapopishana...ungenijibu maswal yangu wala nicnge comment chochote....Sasa kama humjui kwa nn unatwambia tukamsome tunz zake..?
Mtu anapo dilik kuandika habar znazo associate na biblia anapaswa awe mjumbe na muunm Katka biblia...I mean atumiwe na roho mtakatifu...

Huwez kuleta kitabu tukisome wakat unagusa Iman za watu...hapo hakir yako haijafkria vizur...let me say.. Topic closed...

Sent from my E2303 using JamiiForums mobile app
 
Mtoa post nawe ni farisayo wa kizazi cha leo. Yesu hakukosea aliposema.... "watu wangu wanapotea kwa kukosa maarifa".
....Tunaokolewa kwa imani,
 
Bikira Maria hana dhambi kama tulivyo sisi wengine.
Malaika alimwambia Bikira Maria kuwa amebarikiwa kuliko wanawake wote, hivyo basi, Bikira Maria ni mtakatifu. Kwa utakatifu huo bila shaka yuko mbinguni.
Ndiyo maana tunamwomba atuombee sisi wakosefu.
 
Bikira Maria hana dhambi kama tulivyo sisi wengine.
Malaika alimwambia Bikira Maria kuwa amebarikiwa kuliko wanawake wote, hivyo basi, Bikira Maria ni mtakatifu. Kwa utakatifu huo bila shaka yuko mbinguni.
Ndiyo maana tunamwomba atuombee sisi wakosefu.
Hakuna mwanadamu ambaye asili yake siyo dhambi,,, pia hiyo haimpi yeye kuwa intercessor,, intercessor ni Roho Mtakatifu pekee
 
Martin Luther alihama Kanisa Katoliki baada ya kutawaliwa na roho ya zinaa. Kutokana na Mapadri wakatoliki kutooa yeye kama mmojawapo wa kanisa Katoliki alilazimika kuachana na kanisa Katoliki ili kutimiza azma yake ya kuishi na mke.
Mtume Paulo anaeleza wazi kuwa, ni vema mtumishi wa Mungu asioe wala kuolewa, kwani hakuna mtu anayeweza kuwatumikia mabwana wawili kwa wakati mmmoja kwani atampenda huyu na kumwacha au kumchukia mwingine.
Pia mtume Paulo anasema kuwa, kwa sababu ya ZINAA kila mtu na aoe au aolewe kuliko kuwaka tamaa.
Kwa hiyo Martin Luther aliachana na kanisa Katoliki Kutokana na kuzingirwa na roho ya ZINAA.
NB. Martin Luther ndiye chimbuko la KKKT.
 
Bikira Maria alikingiwa dhambi ya asili ili aje kumzaa Yesu ambaye alikuwa ni mtu kweli na Mungu kweli.
Yesu asingezaliwa na mama mwenye dhambi, ndiyo maana ilikuwa kwanza Bikira Maria akingiwe dhambi ya asili kama maandalizi ya kumzaa mkombozi.
 
Kama bikira maria yuko mbinguni je biblia inasema uongo juu yawatu waliokufa..maana biblia inasema yesu atakapo ludi atawaamusha waluo lala katika kiristo .. Inamaana watu waliokufa katika kiristo .. Sasa kama bikira wenu yuko mbingu pamoja nahao mnaowabandika utakatifu je wao hawata fufuliwa
 
Back
Top Bottom