Niliandika hivi unaweza ukawa unazani una right point then ikawa wrong point kwa kutumia biblia hiyo hiyo ndio maana nikaandika hivi biblia mda mwingine iko wazi lakini mda mwingine haiko wazi na ichanganya mambo nikakuuliza swali je yesu alikuja kuitimiliza torati ama hakuja kuitimiliza torati ? ukanijibu jibu ninalo ukaonesha pia na kifungu cha biblia bila shaka ni jibu sahihi,lakini je hujui Bible hiyo hiyo inatengua kifungu ulichokiandika hapo juu ama hujui ,bila shaka nataka kukuambia unaposoma neno la mungu jaribu kusoma ili kupata uwelewa sio kutafuta maandishi ama mistari na vifungu vya kuja kuikosoa dini ya Roman CatholicWewe funga,kamwe huwezi kuzuia ukweli wa Neno la Mungu.
NOTE:Nilikuambia je unahitaji mifano ya biblia hukutoa jibu la ndio au hapana, hivyo basi kwakua mada imeshafungwa hatuna haja ya kuendelea na mabishano bali roho mtakatifu na awe juu yako wakati utumiao kusoma biblia.
TOPIC CLOSED.