Kanisa lililoasi Roman Catholic, linalojulikana kama Babeli Mkuu, mama wa makahaba na machukizo ya nchi.Lilianza kuitwa hivyo rasmi mwaka 538 AD na ndipo cheo cha papa kilianza rasmi baada ya mfalme wa kirumi Justinian kumkabidhi rasmi aksofu mkuu wa roma mamlaka ya kidini na kiserikali.Tangu hapo kanisa katoliki na papa kwa kutumia mamlaka hayo walianza kutesa na kuua wakristo waaminifu waliopinga mafundisho potofu ya kanisa katoliki. Mateso yaliendelea hadi mwaka 1798 , Biblia inasema kipindi hiki upapa ulipata jereha la mauti. Mfalme Napoleon wa ufaransa alikataa kuwa chini ya papa,kwa kumtumia Jenerali Berthia alifanikiwa kumuua papa. Kanisa katoliki likapoteza mamlaka lililokuwa nayo.Lakini jeraha hili lilikuja kupona mwaka 1921, pale dola ya Italy ikaamua kutuoa jiji la vatican kwa kanisa katoliki na kumkabidhi papa mamlaka ya kidini na kiserikali kama walivyofanya awali.hapa Biblia inasema jeraha la mauti lilipona (ufunuo 13:3). Hata vitabu vya kanisa katoliki vinathibitisha maneno haya kuwa jeraha lilipona wakati huu.Kanisa Moja Takatifu Katoliki la Mitume ... Kanisa pekee ambalo linaweza kuhorodhesha viongozi wake kuanzia Petro hadi leo bila kupoteza hata nukta ya uzi huo .....HAKUNA dhehebu linaloweza kuleta mtiririko wa viongozi wake kuanzia kwa Petro hata ya kupika labda wapishi wawe vichaa!!! Kila dhehebu leo utajua limeanzishwa na nani! Ila Kanisa Katoliki wazushi wamebaki kuleta stori za warumi na blah blah kibao ...
Mtumishi wa Mungu Askofu Ignatius wa Antiokia aliyeishi hapa duniani hadi mwaka 107. Alisema, "Popote alipo Yesu Kristu ndipo lilipo Kanisa Katoliki". (Barua kwa Kanisa la Smyrna, Sura ya 8).Kanisa lililoasi Roman Catholic, linalojulikana kama Babeli Mkuu, mama wa makahaba na machukizo ya nchi.Lilianza kuitwa hivyo rasmi mwaka 538 AD na ndipo cheo cha papa kilianza rasmi baada ya mfalme wa kirumi Justinian kumkabidhi rasmi aksofu mkuu wa roma mamlaka ya kidini na kiserikali.Tangu hapo kanisa katoliki na papa kwa kutumia mamlaka hayo walianza kutesa na kuua wakristo waaminifu waliopinga mafundisho potofu ya kanisa katoliki. Mateso yaliendelea hadi mwaka 1798 , Biblia inasema kipindi hiki upapa ulipata jereha la mauti. Mfalme Napoleon wa ufaransa alikataa kuwa chini ya papa,kwa kumtumia Jenerali Berthia alifanikiwa kumuua papa. Kanisa katoliki likapoteza mamlaka lililokuwa nayo.Lakini jeraha hili lilikuja kupona mwaka 1921, pale dola ya Italy ikaamua kutuoa jiji la vatican kwa kanisa katoliki na kumkabidhi papa mamlaka ya kidini na kiserikali kama walivyofanya awali.hapa Biblia inasema jeraha la mauti lilipona (ufunuo 13:3). Hata vitabu vya kanisa katoliki vinathibitisha maneno haya kuwa jeraha lilipona wakati huu.
Hili ndilo kanisa katoliki.
16 Simoni Petro akajibu akasema, Wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai.Petero hajawahi kuwa pope,ni uzushi tu walizusha watu,katika kitabu cha warumi utaoona paul akiongelea kuhusu rumi na hakuna sehemu kamtaja petero kama pope,sana sana utagundua paul na petro walikuwa kama simba na yanga,
hawakupatana,
petro alitumia mda mwingi mashariki ya kati na si roma
Sio kalaaniwa kama mvaa nepi na huyo wakala wake hapo kwenye picha?Umelaaniwa kama Mtume wako Mohammed
Umelaaniwa wewe na mvaa nepi unae muabudu maku weweUmelaaniwa kama Mtume wako Mohammed
Nikuletee Chronological order ya Popes...? Mpaka huo mwaka kulikuwa na popes zaidi ya 10..Kanisa lililoasi Roman Catholic, linalojulikana kama Babeli Mkuu, mama wa makahaba na machukizo ya nchi.Lilianza kuitwa hivyo rasmi mwaka 538 AD
Huyo Kitaja ni kama kachanganyikiwa yani...ni shida..Alafu wazushi juu ya Kanisa muwe na consistance ....sometimes mnasema mwanzilishi wa Kanisa Katoliki ni mfalme wa Kirumi Constatine ....hapa nimeona mnamtaja mwingine tena ....alafu mnafikiri Kanisa halikubali ukweli wa makosa ambayo yamewahi kufanywa na baadhi ya viongozi wake ....kweli yapo machafu lakini kwa muongozo wa Roho Mtakatifu limebaki kuwa moja katika imani moja .....Askofu Kilaini amewahi kuweka wazi hayo machafu lakini "kuzimu wakashindwa" na lipo hadi leo.
Huu mjadala tumeshaufunga mkuu ....hapa hawaji na hoja mpya zaidi ya zile zile za akina Ellen White na wazushi wengine ....leteni uzushi mpya basi ili tuwajibu maana mnayoleta yameshajibiwa toka zama hizo na kufanya wengine tukopi tu majibu ....hebu leteni uzushi mpya wa kutufikirisha ....kama hamjui moja ya sababu ya Kanisa kufanya juhudi ya kukusanya vitabu vilivyojenga Biblia ni wazushi waliokuwa wakija na mafundisho ya uongo juu ya Kristo ....uzushi tumeuzoea na Kanisa lipo na leo ni mwaka gani wa Gregory? ...hahaha ...waulize leo tarehe ngapi alafu waulize wamejuaje ..hahaha ...Huyo Kitaja ni kama kachanganyikiwa yani...ni shida..
Unajua makanisa yao yameanzishwa na watu..Sasa inawauma kila wanapojaribu ku-trace mwanzilishi wa Kanisa Katoliki wana kuta ni Kristo peke yake chini ya Petro..
Hivyo wanachofanya ni kujaribu kupachika mtu ili ionekane Kanisa lilianzishwa na mtu kama ya kwao...
Inawauma sana...ila watafanyaje sasa...tiwaonee hurumaa
Tumesha Funga mhadala huu....Huu mjadala tumeshaufunga mkuu ....hapa hawaji na hoja mpya zaidi ya zile zile za akina Ellen White na wazushi wengine ....leteni uzushi mpya basi ili tuwajibu maana mnayoleta yameshajibiwa toka zama hizo na kufanya wengine tukopi tu majibu ....hebu leteni uzushi mpya wa kutufikirisha ....kama hamjui moja ya sababu ya Kanisa kufanya juhudi ya kukusanya vitabu vilivyojenga Biblia ni wazushi waliokuwa wakija na mafundisho ya uongo juu ya Kristo ....uzushi tumeuzoea na Kanisa lipo na leo ni mwaka gani wa Gregory? ...hahaha ...waulize leo tarehe ngapi alafu waulize wamejuaje ..hahaha ...
Hamuwezi kupinga ukweli kuwa Kanisa Katoliki na papa wenu ndio mnyama wa ufunuo 13 na 14. Pia ndiye Kahaba Mkuu wa ufunuo 17:5.Anaitwa Kahaba mkuu kwa kupotosha Biblia Takatifu, wamejiundia Biblia yao imeongezwa maneno na vitabu visivyovuviwa na Roho Mtakatifu.Huyo Kitaja ni kama kachanganyikiwa yani...ni shida..
Unajua makanisa yao yameanzishwa na watu..Sasa inawauma kila wanapojaribu ku-trace mwanzilishi wa Kanisa Katoliki wana kuta ni Kristo peke yake chini ya Petro..
Hivyo wanachofanya ni kujaribu kupachika mtu ili ionekane Kanisa lilianzishwa na mtu kama ya kwao...
Inawauma sana...ila watafanyaje sasa...tiwaonee hurumaa
Tumeshafunga mjadala....mwenye kuvumilia hata mwisho ndiye atakayeokoka" (Mathayo 24:13).
Wewe funga,kamwe huwezi kuzuia ukweli wa Neno la Mungu.Tumeshafunga mjadala....