Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 2,879
- 4,880
Mkuu hiyo rizali unaisali Anglikana? wew jamaa ni muongo sana yani anglikana anasali rozali, shame on you..High Church ndugu halina tifauti na Catholic Church...Na Rozari kule tunasali vizuri....
Low Church walitaka kujifananisha na Lutherans hivyo waka-copy kila kitu kutoka Lutheran
Kama kweli wewe ni Anglican High Church nenda pale Cathedral ya St. Alban posta DSM, then angalia mandhari ya ndani ya Kanisa, kisha Nenda St. Joseph Cathedral posta ungalie uone kama utaona tofauti ....Hakuna tofauti
Ngoja nikwamvie iko hivi Kanisa Anglikana jimbo la Tanzania imegawanyika katika liw church na high church kulingana na Dayosisi.. Dayosisi ya Dar es salaam ni high iko chini ya Bishop Mokiwa hakuna kitu kama hicho, biblia tunatumia kama wanazotumia wapentecoste, tofaut ya high church na low church ni Namna ya uendeshaji wa ibada kwamba hawa high church wanaendesha kwa kuimba lakin liw church ni kwa kuongea, lakini litrugia ni ile ile.. acha kuudanganya umma tangu lini anglikana ikawa na rozali!!!