titomganwa
Senior Member
- Oct 12, 2010
- 126
- 62
PAC mpaka sasa imeudanganya umma na kuchanganya watanzania. Wachukuliwe hatua gani? Tutawaacha hivihivi? Nononononooooooo!
Kwaninin maisha yao yasichunguzwe ili tujue kama hawajarubuniwa kutudanganya? Wakiwa safi hewalaa! wakiwa hovyo wachukuliwe hatua!
Kamati hii ivunjwe, baada ya hapo inatakiwa iundwe kwa kufuata uzalendo, upeo na taaluma za wajumbe.Lengo liwe ni kutorudia kudanganya umma tena kwa namna yeyote.
Naishia hapa
Kwaninin maisha yao yasichunguzwe ili tujue kama hawajarubuniwa kutudanganya? Wakiwa safi hewalaa! wakiwa hovyo wachukuliwe hatua!
Kamati hii ivunjwe, baada ya hapo inatakiwa iundwe kwa kufuata uzalendo, upeo na taaluma za wajumbe.Lengo liwe ni kutorudia kudanganya umma tena kwa namna yeyote.
Naishia hapa