johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,603
- 141,421
Bila vyama vya siasa haina haha ya Tume ya Uchaguzi na bila Msajili wa vyama vya siasa hakungekuwepo vyama vingi vya siasa.
Sasa kwanini Msajili wa vyama vya siasa " Anajidogodesha" kwa Tume ya Uchaguzi?
Yaani hata Mkurugenzi wa Uchaguzi mh.Mapesa anaonekana ni mkuu kuliko Mtungi why?
Sasa kwanini Msajili wa vyama vya siasa " Anajidogodesha" kwa Tume ya Uchaguzi?
Yaani hata Mkurugenzi wa Uchaguzi mh.Mapesa anaonekana ni mkuu kuliko Mtungi why?