Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Wadau nawasalimu
Nadhani wote tunayajua aliyoyatenda general Ole Sabaya DC wa Hai akiwa madarakani.
Dc Sabaya alitenda uhalifu mkubwa na leo tunashuhudia akiwa mahakamani tayari kahukumiwa kesi moja na nyingine zinaendelea. Najiuliza wakati dc sabaya anatenda uhalifu huo kulikuwa na ocd wa hai na rpc wa kilimanjaro ambao ni wajumbe wa kamati za ulinzi na usalama za wilaya na mkoa je viongozi hawa hawakuujua uhalifu huo?
Je kwanini hawakumchukulia hatua?
Au walikuwa washirika wake?
Je, kutomchukulia hatua kwanini kusitafsiriwe kuwa walishindwa kuwajibika katika nafasi zao?
Binafsi sidhani kama ni sahihi kutowachukulia hatua kwani walimuacha sabaya atende uhalifu huku wakimwona.
Nadhani wote tunayajua aliyoyatenda general Ole Sabaya DC wa Hai akiwa madarakani.
Dc Sabaya alitenda uhalifu mkubwa na leo tunashuhudia akiwa mahakamani tayari kahukumiwa kesi moja na nyingine zinaendelea. Najiuliza wakati dc sabaya anatenda uhalifu huo kulikuwa na ocd wa hai na rpc wa kilimanjaro ambao ni wajumbe wa kamati za ulinzi na usalama za wilaya na mkoa je viongozi hawa hawakuujua uhalifu huo?
Je kwanini hawakumchukulia hatua?
Au walikuwa washirika wake?
Je, kutomchukulia hatua kwanini kusitafsiriwe kuwa walishindwa kuwajibika katika nafasi zao?
Binafsi sidhani kama ni sahihi kutowachukulia hatua kwani walimuacha sabaya atende uhalifu huku wakimwona.