Katwangilo
JF-Expert Member
- Jun 10, 2021
- 705
- 693
Kwa taarifa tu OCD yule wa Sabaya Alisha simamishwa kazi
Kesi yake iliishia wapi?!Kwa taarifa tu OCD yule wa Sabaya Alisha simamishwa kazi
Asante Mungu, ni bora mbwa magufuli alikikufa.Ndio maana nimesema wanaodai katiba wanahoja.
1.Nani wakumkamata kama Amiri jeshi amemuamuru afanye hivyo.
2.Anaye amuru hashitakiwi popote.
3.Uliyeteuliwa uliapa kuwa utamtii.
NB.
Viapo hufanyika kwa kushika vitabu vya Mungu huku miongozo ipo kwenye katiba.
Mungu huwa nishahidi kuwa mtamwinua mteule wenu bila sababu.
Kakosea sehemu gani hata aonekane hajashirikisha ubongo wake??Mkuu hujashirikisha ubongo wako kabla hujaandika hili.
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Alistahili kufungwaKesi yake iliishia wapi?!
Sabaya alitumwa na mamlaka ya uteuzi ambayo Ni kubwa kuliko rpc au ocd,Wadau nawasalimu
Nadhani wote tunayajua aliyoyatenda general Ole Sabaya DC wa Hai akiwa madarakani.
Dc Sabaya alitenda uhalifu mkubwa na leo tunashuhudia akiwa mahakamani tayari kahukumiwa kesi moja na nyingine zinaendelea. Najiuliza wakati dc sabaya anatenda uhalifu huo kulikuwa na ocd wa hai na rpc wa kilimanjaro ambao ni wajumbe wa kamati za ulinzi na usalama za wilaya na mkoa je viongozi hawa hawakuujua uhalifu huo?
Je kwanini hawakumchukulia hatua?
Au walikuwa washirika wake?
Je, kutomchukulia hatua kwanini kusitafsiriwe kuwa walishindwa kuwajibika katika nafasi zao?
Binafsi sidhani kama ni sahihi kutowachukulia hatua kwani walimuacha sabaya atende uhalifu huku wakimwona.
HakikaSabaya alitumwa na mamlaka ya uteuzi ambayo Ni kubwa kuliko rpc au ocd,
Yaani hii Nchi ilitawaliwa na shetani joka Kuu tunamshukuru Mungu kaamua ugomvi.,.
Sabaya alikuwa anatekeleza maagizo ya aliyemteua Magufuli kuhakikisha kuwa Jimbo/ wilaya ya Hai hapakaliki na CHADEMA inakufa including Mbowe kupotezwa.Wadau nawasalimu
Nadhani wote tunayajua aliyoyatenda general Ole Sabaya DC wa Hai akiwa madarakani.
Dc Sabaya alitenda uhalifu mkubwa na leo tunashuhudia akiwa mahakamani tayari kahukumiwa kesi moja na nyingine zinaendelea. Najiuliza wakati dc sabaya anatenda uhalifu huo kulikuwa na ocd wa hai na rpc wa kilimanjaro ambao ni wajumbe wa kamati za ulinzi na usalama za wilaya na mkoa je viongozi hawa hawakuujua uhalifu huo?
Je kwanini hawakumchukulia hatua?
Au walikuwa washirika wake?
Je, kutomchukulia hatua kwanini kusitafsiriwe kuwa walishindwa kuwajibika katika nafasi zao?
Binafsi sidhani kama ni sahihi kutowachukulia hatua kwani walimuacha sabaya atende uhalifu huku wakimwona.