Kwanini obama mpaka leo hajaja tz pamoja na safari nyingi za jk us....?

MtazamoWangu

JF-Expert Member
Apr 25, 2009
313
7
Nimekuwa najiuliza sana,hivi safari zote za JK ndani ya US zinakuwa kutoka mualiko wa nani? Je Raiis wa marekani anakuwaga na taarifa za ujio wa raisi wetu, maana kuna wakati raisi anakaa zaidi ya wiki US na hatuoni matukio ya kukutana na raisi au kiongozi mkuu yeyote kule mara nyingi.

sasa kama raisi kila mara anaenda US, inaonyesha yupo karibu na nchi ile na raisi wao, mbona Obama hatujamsikia akija huku?? hata mara ya mwisho alipotembelea Africa alienda sehemu tofauti kabisa......Kuna umuhimu wa safari za JK zikamulikwa vizuri tukapata maelezo yakuturidhisha maana zinaligharimu taifa....
 
Nani kakueleza kuwa JK akienda US anakutana na Mr. O? Sidhani hata kama anakutana na Governor wa state yeyote au hata Mayor wa mji.

Zaidi ya kwenda kutalii, kula Piza na Donnuts na kushangaa majumba, hakuna la zaidi.

We lost big my dear. Time is money, and the five years just went through the drain.
 
Mradi mkubwa kuwahii kuwekwa Tanzania unatoka Rusia(Dairly News ya leo 12.05.2010), ambako hajaenda hata maramoja, sasa marekani kuna nini?
 
hahahaa,nimecheka sana.nyie safari za kikwete haziwahusu,pengine mganga wake yupo huko,thats why anaenda kusafisha nyota mara kwa mara!
 
Kusema kweli hakuna haja ya Rais O kuja!

Tangu enzi za mwaka 1998, kuanzia na Balozi Charles R. Stith, Robert V. Royall, Michael L. Retzer, Mark Green hadi huyu wa sasa Meja Jenerali mstaafu Alfonso E. Lenhardt, Tanzania imekuwa ikiingiliwa hata jikoni.
 
wekeni basi hiyo link ya hao warussia tuone, sisi wengine hatupo hapo bongo na kwenya hilo gazeti online sioni....hiyo mbona ni habari njema basi..
 
Back
Top Bottom